Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why bob marley na sio mtu mwingine ?Uhakika wa hii habari ndo maana ya credibility bro.
Kumbuka anakaribia kufa na amekuwa akitoa 'confessions' za kushangaza.
Mbona Merley died of cancer! What I know ni kwamba there was an attempted assassination but it wasn't fatal.
Kidhungu hakiunganishiki[emoji4]Ivi unajua kusoma kweli? Acha uvivu
Yan umekuja kama ilivyo Mkuu,Jamaa anasema alikwenda kwenye mazoezi kwa ajili ya tamasha la mwisho kabla bob hajafa, akaingia pale kama mpiga picha mashuhuri na alikuwa amempelekea bob zawadi ya viatu aina ya All star size no. 10 na alipompa ile zawadi bob alipokuwa anajaribisha kiatu cha mguu wa kulia kuona kama kinamtosha ndipo alipochomwa na sindano iliyokuwa imewekwa kwa ndani na ilikuwa ina bacteria wa cancer.
Say what?Because he goes stunning deth
Kwa nini unachangia kwa kusoma kichwa cha habari tu?Mbona Merley died of cancer! What I know ni kwamba there was an attempted assassination but it wasn't fatal.
'Rat Race'I'm singin' that
When the cat's away
The mice will play
Political violence fill ya city, ye-ah!
Don't involve rasta in your say say
Rasta don't work for no CIA
Hiyo ndio sehemu ya nyimbo Bob Marley aliimba kwenye album yake Stop the Rat. Ilikuwa kuhusu CIA
Thats rats race bob[emoji106]I'm singin' that
When the cat's away
The mice will play
Political violence fill ya city, ye-ah!
Don't involve rasta in your say say
Rasta don't work for no CIA
Hiyo ndio sehemu ya nyimbo Bob Marley aliimba kwenye album yake Rat Race . Ilikuwa kuhusu CIA
Fake newsDah! Afadhali ametubu na kujutia dhambi hiyo naye wakati anasubiri kifo kimpumzishe awasamehe wote waliomkosea.
Kwa hiyo hiyo English hapo juu hujaelewa.Mbona Merley died of cancer! What I know ni kwamba there was an attempted assassination but it wasn't fatal.
Hata shetani atawakana Americans na suppoters waoKazi nyingine ni za kishetani.