Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
Hahahahah ok fineDont warre, umetema yai japo bichi but nimekuanda sitendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah ok fineDont warre, umetema yai japo bichi but nimekuanda sitendi
Nimeumia mno moyo jamaa kumpa kiatu ya sumuHahahahah ok fine
Hujaelewa yai langu[emoji23] [emoji41]Say what?
For a long time I wasn’t comfortable with my part in his death. But eventually I came to realize it had to be done, for America.”Yan umekuja kama ilivyo Mkuu,
Huwezi kujuta kijeurijeuri hivyo mkuuDah! Afadhali ametubu na kujutia dhambi hiyo naye wakati anasubiri kifo kimpumzishe awasamehe wote waliomkosea.
Soma tena kwa utulivu, usipoelewa kuna tatizo mahali.Mbona Merley died of cancer! What I know ni kwamba there was an attempted assassination but it wasn't fatal.
Lol. Yai viza rafikiHujaelewa yai langu[emoji23] [emoji41]
Ila mie naamini hii story, wazungu hatari sana aise, chunguza ya kina Lumumba, Che, Qaddafi, Saddam Hussein, yule wa Misri, Mandela alikoswa koswa (bahati), na wengineo..Wazungu ni katili mno...Hii ni moja ya story iliyo trend sana kwa masaa karibu 20 yaliyopita. Ila inaonekana ni 'FAKE NEWS'.
Fungua hapa: Cia Agent Confesses On Deathbed: ‘I Killed Bob Marley’ | Your News On Time!
Kwa hyo haiwezekani huyo dada akawa kuna kitu alikuwa akikijua au kuhisi?Mm hii story sikuiamini nikafanya utafiti wangu na kugundua ni ya kutunga..Hoax...maneno mengi yaliyotumika huku yalisemwa na dada mmoja jirani ya Bob..akielezea siku bob aliposhambuliwa na watu wenye bunduki
WEKA ILIYO YA KWELIHii ni moja ya story iliyo trend sana kwa masaa karibu 20 yaliyopita. Ila inaonekana ni 'FAKE NEWS'.
Fungua hapa: Cia Agent Confesses On Deathbed: ‘I Killed Bob Marley’ | Your News On Time!