Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Aisee. Hata mimi nimefurahi kukuona.Upo kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee. Hata mimi nimefurahi kukuona.Upo kumbe
Umeandika maneno mazuri na GT yeyote mhm apitie hapa na wengine kujitoa ufahamu,kinachoendelea Leo duniani kinaonekana jitu linamiliki nyuklia zenye kuruka umbali hata kupopoa jua au mwezi lkn akatokea mwingine anajiundia la kupopoa nchi yake inakuwa nongwa na american phobia wanaunga mkono hilo kiduku apotezwe kabisa team Kim tushasema kama mbwaimbwai tu,arushe hata jiwe na nyuu yoki iwe majivu igeuzwe mashamba ya mpunga.
Bado kazi.za gereji zinanitesa[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Aisee. Hata mimi nimefurahi kukuona.
Ni source kama zipi ungeweza japo kuamini mkuu?Source:
BLAKKPEPPER.COM
YOURNEWSWIRE.COM
HIP HOP VIBE.COM
Ndio maana huku kwetu kuna kosa la UCHOCHEZI. Kwa sababu walishatuona tuna vichwa vya sponji, vinanyonya kila kitu.
CIA wamemsikiliza wamemuona mwacheni chizi anajifia taratibu, huku kwetu kwa kweli angesomewa mashitaka kitandani kwa uchochezi kwa sababu nusu na robo ya vichwa vyote vya Tanzania vingenunua hadithi.
....Have you really understood the thread?Mbona Merley died of cancer! What I know ni kwamba there was an attempted assassination but it wasn't fatal.
.....Unadhani issue ni kusoma mkuu? Issue ni kusoma na kuelewa kilichoandikwa...Ivi unajua kusoma kweli? Acha uvivu
Damn,Ndiyo maana chuki zangu na U.S.A haziwezi kwisha.Let Bob Rest in peace.
Haaaahaaaa mwee!! Umenifanya nicheke kwa sauti mpaka watto wameshangaa!!Msaada wa mashine ya converter lugha ya malkia nimetoka patupu kabisa maGT tuwe na upendo twende pamoja nimekuwa wa kwanza kuiona habari hii lkn nimeshindwa kuwahi seat.
...To just say fake news without proof of the fact is uselessFake news
Duh![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]May the hell fire start crucify him from his asshole.
Itakuwa ndo walewalewhy saying the news is fake... unayo real one mkuu utuwekee hapa?
ni kweli?Niliisoma daaa imeniuma kisenge yaani
Am not sure but ......ni kweli?
Una maana toka mtu m1 hadi mwingine au ile hali ya kusambaa kwenye sehemu tofauti za mwili?Je cancer inaambukiza?
Wataalamu wa maswala ya tiba mkuje hapa.
Kama ukimwi unavyoambukizaga!Una maana toka mtu m1 hadi mwingine au ile hali ya kusambaa kwenye sehemu tofauti za mwili?
Kama ukimwi unavyoambukizaga!