CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa hoi kitandani

CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa hoi kitandani

Damn,Ndiyo maana chuki zangu na U.S.A haziwezi kwisha.Let Bob Rest in peace.
Na waarabu waliowabaka waafrika enzi za utumwa,wakawaasi na kuwalawiti,nao vipi chuki yako na waarabu iliishaje?
Au dini moja imesawazisha,
Kuna kitu nadhani haukijui,
Tawala zoote za kidunia ni za kishetani,maana zinaua na kutesa wasio wa mlengo wao ili kujilinda,narudia tena serikali zoote hata hii ya nanii za kishetani maana zinamwaga damu ya wasiohatia kujilinda
Sasa ukutaka kuwa sawa chukia serikali zooooote
 
Kisayansi inaambukizaje?
Mkuu, kwa kesi ya huyu Bob kilichofanyika ni kumwekea virusi vinavyosababisha kansa.
Kumbuka Human papillomavirus inasababisha kwa binadamu ndio maana hata huyo jamaa kasema "The nail in the shoe was tainted with cancer viruses and bacteria. If it pierced his skin, which it did, "
 
Ukweli uliowazi USA anafanya ugaidi mwingi sana ili kulinda maslahi yao ya kikoloni kila kona ya dunia iwe kwa wanaharakati ama watawala,kkibaya kwao ni kupinga mambo yao na vibaraka wao!!

Rejea vifo vya Castro wa Cuba,Hugo Chavez ambae kabla ya mauti alisema wazi wazi USA wamemwekea cancer!! JF Kenedy raisi wao mwenyewe walimnywa damu!!

Cha kufurahisha kuna watu wanaamini magaidi ni waarabu na Marekani ndio Taifa takatifu!!
Umefikiri na kutamka kwa msukumo wa chuki na kutetea mlengo wako,
Niambie ni serikali gani duniani haifanyi ujasusi na ushetani kujinda,ukiskia mashirika ya kijasusi usidhani ni kushangilia kwa mapambio,hata humu humu kwetu yanatendeka sana,
 
Na waarabu waliowabaka waafrika enzi za utumwa,wakawaasi na kuwalawiti,nao vipi chuki yako na waarabu iliishaje?
Au dini moja imesawazisha,
Kuna kitu nadhani haukijui,
Tawala zoote za kidunia ni za kishetani,maana zinaua na kutesa wasio wa mlengo wao ili kujilinda,narudia tena serikali zoote hata hii ya nanii za kishetani maana zinamwaga damu ya wasiohatia kujilinda
Sasa ukutaka kuwa sawa chukia serikali zooooote

Babylon system is the vampire, yea! (vampire)
Suckin’ the children day by day, yeah!
Me say: de Babylon system is the vampire, falling empire,
Suckin’ the blood of the sufferers, yea-ea-ea-ea-e-ah!
Building church and university, wo-o-ooh, yeah! –
Deceiving the people continually, yea-ea!
Me say them graduatin’ thieves and murderers;
Look out now: they suckin’ the blood of the sufferers (sufferers).
Yea-ea-ea! (sufferers)

REDEMPTION SONG.
 
Kazi nyingine ni za kishetani.
Wajinga wametolea macho CIA tu sababu dini zao zinaichukia amerika wanasahau hii kazi ya ujasusi na kuua ama kutesa ili kulinda maskahi ya watawala ipo hata kwetu,ipo kwa serikali zoote
Kikubwa tunachopaswa kukijua ni kuwa serikali za dunia ya sasa ni chukizo kwa Mungu na ni mawakala wa ushetani,chunguza tu wanayofanya yanavyopingana na Mungu
 
The only asshole l know in this world is this idiot in bed,what is he suffering from?Does he think by confessing he has removed all the pain and sorrows he caused to Bob marleys family?Now he is in bed,can the CIA make him young and healthy with another virus?Confession wont help him it will take him to death.The wages of sin is Death but the way of god is living forever.Bob marley is still living in our minds,so he is still alive,what will this imbecile be remembered for?for killing people?
Hata watesi wa li suu kuna siku watafikia hapo na wasipate faraja
 
Babylon system is the vampire, yea! (vampire)
Suckin’ the children day by day, yeah!
Me say: de Babylon system is the vampire, falling empire,
Suckin’ the blood of the sufferers, yea-ea-ea-ea-e-ah!
Building church and university, wo-o-ooh, yeah! –
Deceiving the people continually, yea-ea!
Me say them graduatin’ thieves and murderers;
Look out now: they suckin’ the blood of the sufferers (sufferers).
Yea-ea-ea! (sufferers)

REDEMPTION SONG.
Not redemption song mkuu
Babylon system
 
Na waarabu waliowabaka waafrika enzi za utumwa,wakawaasi na kuwalawiti,nao vipi chuki yako na waarabu iliishaje?
Au dini moja imesawazisha,
Kuna kitu nadhani haukijui,
Tawala zoote za kidunia ni za kishetani,maana zinaua na kutesa wasio wa mlengo wao ili kujilinda,narudia tena serikali zoote hata hii ya nanii za kishetani maana zinamwaga damu ya wasiohatia kujilinda
Sasa ukutaka kuwa sawa chukia serikali zooooote
Mkuu vipi mbona unadandia gari kwa mbele?yaani mi kuichukia u.s.a we inakuuma,any way Bob is my Role model.
 
Mkuu, kwa kesi ya huyu Bob kilichofanyika ni kumwekea virusi vinavyosababisha kansa.
Kumbuka Human papillomavirus inasababisha kwa binadamu ndio maana hata huyo jamaa kasema "The nail in the shoe was tainted with cancer viruses and bacteria. If it pierced his skin, which it did, "
Nikataka majibu ya sayansi sio majibu ya wasomi.
 
Nikataka majibu ya sayansi sio majibu ya wasomi.
Hiyo sayansi tunafundishwa na hao wasomi mkuu.
Wakipanga kutulisha matango pori tutakula tu maana wao wana uwezo na kila kitu na sisi tunakariri toka kwao. Na hapa ndipo wanapotukamata na conspiracy zao.
 
Ipo siku atajitokeza mtu na kusema alihusika na kifo cha Michael Jackson...
 
Usalama wa mtu anaye guarantee ni Mungu tu , maana mbaya wako anaweza kuwa hata daktari na akakuangamiza badala ya kukuponya.
No 1 will alive forever
 
Back
Top Bottom