CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa hoi kitandani

CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa hoi kitandani

"Rat Race"

Uh! Ya too rude!
Uh! Eh! What a rat race!
Oh, what a rat race!
Oh, what a rat race!
Oh, what a rat race!
This is the rat race! Rat race! (Rat race!)

Some a lawful, some a bastard, some a jacket:
Oh, what a rat race, yeah! Rat race!

Some a gorgon-a, some a hooligan-a, some a guine-gog-a
In this 'ere rat race, yeah!
Rat race!
I'm singin' that
When the cat's away,
The mice will play.
Political voilence fill ya city, ye-ah!
Don't involve Rasta in your say say;
Rasta don't work for no C.I.A.

Rat race, rat race, rat race! Rat race, I'm sayin':
When you think is peace and safety:
A sudden destruction.
Collective security for surety, ye-ah!

Don't forget your history;
Know your destiny:
In the abundance of water,
The fool is thirsty.
Rat race, rat race, rat race!

Rat race!
Oh, it's a disgrace
To see the human-race
In a rat race, rat race!
You got the horse race;
You got the dog race;
You got the human-race;
But this is a rat race, rat race!
 
Source:

BLAKKPEPPER.COM
YOURNEWSWIRE.COM
HIP HOP VIBE.COM

Ndio maana huku kwetu kuna kosa la UCHOCHEZI. Kwa sababu walishatuona tuna vichwa vya sponji, vinanyonya kila kitu.

CIA wamemsikiliza wamemuona mwacheni chizi anajifia taratibu, huku kwetu kwa kweli angesomewa mashitaka kitandani kwa uchochezi kwa sababu nusu na robo ya vichwa vyote vya Tanzania vingenunua hadithi.
Time will tell.
Wanaharakati huishi milele hata baada ya vifo vyao.
Kwao wanaamini kuwa ''kuwa mfu ni bora kuliko kuwa mtumwa hai''.
 
Kumbe unaweza kupandikiza cancer kwa mtu,?? Nlijuaga ni natural Inborn
 
BOB MARLEY ALIVYO UAWA NA MAREKANI .

NA, Noel Shao.

Wakala wa CIA anakiri kuhusika moja kwa kwa juu ya kifo cha Mwana muziki wa reggae Bob Marley.


Mkurugenzi wa CIA, Bill Oxley, amefanya mfululizo wa maajabu tangu alipofikishwa kwenye Hospitali ya Mercy huko Maine Jumatatu ya wiki hii na kuambiwa kuwa ana wiki chache za kuishi. Anasema alifanya mauaji 17 kwa serikali kwa ajili ya Amerika kati ya 1974 na 1985, ikiwa ni pamoja na kumuua mwana muziki Bob Marley.

Oxley, ambaye alifanya kazi na CIA kwa miaka 29, anasema mara nyingi alitumiwa na CIA , na kuua watu ambao ni tishio kwa malengo ya shirika hilo.

Alifundishwa kama sniper na markman, (Muuwaji Mkuu). Wakala huyu ana uzoefu mkubwa na mbinu zaidi zisizo za kawaida za kuwadhuru watu, kwa kutumia vitu mbalimbali km sumu, mabomu, na saratani.

Mauaji mengi alifanya kati ya mwaka 1974 - 1985, wakati ana hudumu ktk shiriki hilo, anasema alikuwa sehemu ya kiini cha uendeshaji cha wanachama watatu ambao ulifanya mauaji ya kisiasa nchini kote na mara kwa mara katika nchi za kigeni.

Waathirika wao wengi walikuwa wanaharakati wa kisiasa, waandishi wa habari, na viongozi mbalimbali, lakini pia anakiri kuua wanasayansi wachache, watafiti wa matibabu, wasanii na wanamuziki ambao wana mawazo makubwa na ushawishi, hasa walio kuwa ni tishio kwa maslahi ya Marekani."

Anasema hakuwa na tatizo la kumuuawa Bob Marley, kwa sababu "nilikuwa mwaminifu , niliamini CIA, na sikuwa na shaka ya motisha ya shirika hilo. Nimekuwa nimeelewa kwamba wakati mwingine dhabihu zinapaswa kufanywa kwa manufaa zaidi. "

Lakini Oxley anakiri kwamba Bob Marley bado ni wa pekee kati ya waathirika wake alisha wahi kuwaua, kwa sababu yeye ndiye aliyeathirika.

"Wengine ilikuwa kawaida. Bob Marley alikuwa Bob Marley.

Anasema "nilikuwa hisia zilizochanganywa" kuhusu kifo cha Bob Marley. Kwa upande mmoja, Marley alikuwa "Mtu mzuri, roho nzuri" na "zawadi kubwa za kisanii" ambazo hazikustahili kupunguzwa maisha yake. Lakini kwa mujibu wa Oxley, Bob Marley pia aliweka malengo ya CIA katika hatari na kutishia kuwepo kwa Marekani.

Alifanikiwa kuunda mapinduzi yaliyotumia muziki kama chombo cha nguvu zaidi kuliko risasi na mabomu. Bob Marley mwaka wa 1976 alikuwa tishio kubwa sana kimataifa na nguvu kubwa zilizofichwa kutekeleza mpango wao wa utaratibu mpya wa dunia.

Bob Marley alikuwa na mafanikio mno, na maarufu sana, pia mwenye ushawishi mkubwa.
Rastaman wa Jamaika ambaye alianza kutumia fedha na umaarufu ili kusaidia watu duniani kote ambazo zilikuwa na hatari za moja kwa moja na CIA.
"Ili kuwa mwaminifu, alisaini hati yake ya kifo chake . (to be honest, He signed his own death warrant)

"Si kama sisi hatukumuonya. Tuliwatuma watu wachache nyumbani kwake huko Kingston, mara kadhaa.
Alisema pia waliratibu jaribu la kumpiga risasi katika makazi ya Marley ambayo ilimuacha mwimbaji huyo na majeraha ya mkono na kifua. "anasema pamoja na juhudi hizo za kumpelekea ujumbe . Hakuwasikiliza wala kuacha alicho kuwa anafanya. "

Siku kadhaa baada ya kutoka hospitali, Bob Marley alisafiri kwenda ktk milima na alitumia muda mrefu kujiandaa kwa tamasha kubwa la muziki.

Kulingana na Oxley, alitumia sifa za vyombo vya habari ili kumpata Bob Marley wakati wa akiwa ktk makazi yake huko milimani. Alijitambulisha kama mpiga picha maarufu anayefanya kazi na New York Times, na akampa Bob Marley zawadi.

"Nilimpa jozi ya Converse All Stars. Ukubwa wa size 10, alipokuwa akijaribu kwenye kiatu sahihi, alilia 'OUUCH.'

"Hapo ndipo. Uhai wake ulpoifika mwisho pale pale . Msumari katika kiatu ulikuwa una virusi vya saratani/kansa na bakteria. Kimsumari kilimchoma ngozi yake" Nilichofanya, nilikuwa muuguzi mzuri. "

"Kulikuwa na mfululizo wa mauaji ya juu ulio kuwa utamaduni Marekani mwishoni mwa miaka ya sitini, na mapema miaka ya sabini. Wakati huo na Bob Marley alikuwa target, na ulikuwa utaratibu wa siku zote. Kwa Bob Hakuna risasi zaidi na kelele zilizopigwa. "

Oxley anasema aliendelea kuwasiliana kwa ukaribu na Marley wakati wa miaka ya mwisho ya maisha yake hasa akiwa Hospitalini, akihakikisha kuwa ushauri wa matibabu aliokuwa akipokea huko Paris, London na Marekani ungemuua kwa haraka kuliko kumponya." Na hatimaye, alikufa kutokana na kansa Mei 1981. Akiwa na umri wa miaka 36 tu.

Anasema, "wakati wa mwisho Bob alinyoa rasta zake, na kabla ya kufa alikonda sana na uzito wake ulikuwa umeshuka mno.

"Alikuwa dhaifu sana, Alikuwa amepungua mno. Kansa ilikuwa imefanya kazi yake . "

"Siku aliyokufa huko Miami ilikuwa siku ya majuto na mbaya kwa wakati wote katika historia ya kazi yangu. Nilihisi vibaya sana. Kwa muda mrefu sikuwa na furaha kwa kifo chake.
" Lakini hatimaye nilitambua ni kazi ambayo lazima ifanyike, kwa ajili yataifa la Amerika. "

[HASHTAG]#Nimeitafsiri[/HASHTAG] kutoka kwenye mtandao.

Nini Maoni Yako?

Ndimi, Noel Shao [HASHTAG]#mjenziWaTanzaniaMpya[/HASHTAG]

6cf2c1b567121507055786d546647b08.jpg

O
 
$Don't Gain The World & Lose Your Soul, Wisdom Is Better Than Silver and Gold
" Bob Marley
 
Hakika naamini hata waliotaka kuumua Mh. Tundu Lissu, ipo siku watakuja kunena haya wazi na kujulikana.


KAMA HAWAJATUPWA COCO BEACH KWENYE MIFUKO KWA KOSA LA KUMKOSA KUMUUWA
 
Aiseeee! Wazungu watu wabaya sana, very selfish wanauma huku wanapuliza
 
Kwa style hii North Korea bora aendelee kutengeneza sila za nuclear na makombora mengine ndo mtetezi wa pekee aliyebaki na muunga mkono. Nawachukia CIA wanatumiwa na mtu wasiyemjua kabisa.
 
Ni source kama zipi ungeweza japo kuamini mkuu?

Vyombo vinavyoheshimika, kama Reuters, Agence French Press, the BBC, New York Times...

I mean, there is no way a CIA retiree would reveal such a bombshell and the story be missed by the NYTimes if it were true. Not in a million years.

Hip Hop Vibe.com au Black Pepper.com? Come on now!
 
Vyombo vinavyoheshimika, kama Reuters, Agence French Press, the BBC, New York Times...

I mean, there is no way a CIA retiree would reveal such a bombshell and the story be missed by the NYTimes if it were true. Not in a million years.

Hip Hop Vibe.com au Black Pepper.com? Come on now!
Na wewe unaamini kabisa 100% hivyo vyombo vyote vinasema ukweli daima?
 
Ila mie naamini hii story, wazungu hatari sana aise, chunguza ya kina Lumumba, Che, Qaddafi, Saddam Hussein, yule wa Misri, Mandela alikoswa koswa (bahati), na wengineo..Wazungu ni katili mno...
Kaka jeb nimerudi elcomandante
Jeb Kuna data nyingine nitakutumia CIA walitumia pesa nyingi kuzima harakati mapinduzi....na kutengeneza ugaidi kwa makusudi kabisa....pia Kuna kamanda mwenzetu yuko humu nimeona ishu zake...amepiga nyundo kabisa...niexpert member Tanzania nationalist...nashangaa kipala kama ameshazoma ishu zake
 
Back
Top Bottom