CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa hoi kitandani

CIA akiri kumuua Bob Marley akiwa hoi kitandani

Na wewe unaamini kabisa 100% hivyo vyombo vyote vinasema ukweli daima?

Hapana, na hakuna niliposema kikiandikwa na NYTimes basi cha ukweli.

Nimesema, habari kama hii haiwezi kupitwa na vyombo kama hivyo, hata kama wangeandika uongo, lakini wasingeikosa. Gazeti kama NYTimes linajiheshimu kama "paper of record," linahifadhi rekodi za dunia yao, lazima wamepiga simu public relations CIA au kwa wastaafu wanaowapa michongo iliyokuwa declassified. E bana hii kitu vipi, mnamjua huyu babu? Aah huyo ndio lakini bangi tu mwongo anajifia taratibu mwacheni. Au kama story ni kweli is it declassified? No, okay kwa nini hajawa arrested kwa kutoa siri za nchi? Oh, yes, it is declassified anaweza kuongea. Okay tupeni mchongo wote.

Ukikataa kutoa mchongo wana file kitu kinaitwa Freedom of Information petition, lazima utoe, wanachukua habari wanarusha na wanaenda kuandika vitabu vya CIA wanapiga hela.

Hip hop.com na Black Pepper.com hawana vyanzo vya habari ndani ya CIA vya ku verify bombshell kama hili, wanabugia chochote kama dodoki.

You know the types, NIPASHE, ITV, TBC, AZAM, MWANANCHI... Ukiwaita ukawaambia jamani naumwa sana sina msaada nakufa, nimetelekezwa, mimi ndio nilichora bendera ya Taifa, kesho yake wooote watamiminika kuku sympathsize na kulaumiana, hakuna anaejua nani ali design bendera wala nembo wala mwimbo wa Taifa. Au kama ni kweli alichora alichora kwa maelewano gani. Hakuna. Ndio HIP HOP.COM na BLACK PEPPER.COM, third world-ish press.
 
Hapana, na hakuna niliposema kikiandikwa na NYTimes basi cha ukweli.

Nimesema, habari kama hii haiwezi kupitwa na vyombo kama hivyo, hata kama wangeandika uongo ndani, lakini wasingeikosa wote. Gazeti kama NYTimes linajiheshimu kama "paper of record," linahifadhi rekodi za dunia yao, lazima wamepiga simu public relations CIA au kwa wastaafu wanaowapa michongo iliyokuwa declassified. E bana hii kitu vipi, mnamjua huyu babu? Aah huyo ndio lakini bangi tu mwongo anajifia taratibu mwacheni. Au kama story ni kweli is it declassified? No, okay kwa nini hajawa arrested kwa kutoa siri za nchi? Oh, yes, it is declassified anaweza kuongea. Okay tupeni mchongo wote.

Ukikataa kutoa mchongo wana file kitu kinaitwa Freedom of Information petition, lazima utoe, wanachukua habari wanarusha na wanaenda kuandika vitabu vya CIA wanapiga hela.

Hip hop.com na Black Pepper.com hawana vyanzo vya habari ndani ya CIA vya ku verify bombshell kama hili, wanabugia chochote kama dodoki.

You know the types, NIPASHE, ITV, TBC, AZAM, MWANANCHI... Ukiwaita ukawaambia jamani naumwa sana sina msaada nakufa, mimi ndio nilichora bendera ya Taifa nimetelekezwa, kesho yake wooote watamiminika kuja ku sympathasize na kulaumiana, hakuna anaejua nani ali design bendera wala nembo ya Taifa wala mwimbo wa Taifa. Au kama ni kweli alichora alichora kwa mpango gani. Hakuna. Ndio HIP HOP.COM na BLACK PEPPER.COM, third worldish press.
Bahati unayo pointi kubwa
 
Eti kwamba??
Kumbuka yako magonjwa halisi na magonjwa ya kutengenezwa chungu mzima ikiwa ni pamoja na huu ukimwi wetu....Tena Kuna fununu alikuwa specialist wa kiyahudi alifanya hivi.....economic warfare ku control population na uchumi na kudumaza mabara ya weusi
 
Mimi naomba mnieleweshe hapo pa "New World Order"
New world order ndio mfumo unaotumika kuingoza dunia Sasa...kivuli nyuma ya globalization..mmomonyoko mkubwa wa maadili... corrupted politics.....ukiwa engineered na wayahudi wanaoitawala itawala Ulaya sisi wengine twafwata upepo tu
 
Nikuulize swali moja tuu
Serikali haina wapigaji wazur wa risasi (snipers) mpaka ikodi watu ambao wanatumia risasi 32 kwa mpiga mmoja.?
 
Ukweli uliowazi USA anafanya ugaidi mwingi sana ili kulinda maslahi yao ya kikoloni kila kona ya dunia iwe kwa wanaharakati ama watawala,kkibaya kwao ni kupinga mambo yao na vibaraka wao!!

Rejea vifo vya Castro wa Cuba,Hugo Chavez ambae kabla ya mauti alisema wazi wazi USA wamemwekea cancer!! JF Kenedy raisi wao mwenyewe walimnywa damu!!

Cha kufurahisha kuna watu wanaamini magaidi ni waarabu na Marekani ndio Taifa takatifu!!
Ukweli mchungu huu ndugu, Sena watu kwa kukosa uadilifu na kuegemea kwenye hisia sana ndio maana hawataki kukubali mambo kama haya!
 
Naye sasa ni zamu yake kutembelewa na Israili.
Mtu anapotoa roho za wenzake, akumbuke ipo siku na yake itatoka tena huenda kwa maumivu makali Zaidi ya zile alizozitoa.
 
Don't trust any person from the white pigs nations. Even if is your own brother.
 
Back
Top Bottom