CIA inamtesa Putin vikali, yaanza maandalizi ya kumtoa rasmi Kremlin

Wewe ni wale watu wanajuwa sana kuandika na kupangilia maneno ya maandishi yenu ila pumba grade one. Sources
wewe ni kati ya wajibu pumba kwa pumba kwa ufanisi wa grade 1
 
Nikweli us hawezi kufanya hivyo coz Russia anatumia nukes kama defence mechanism. Mzozo unaoendelea ukraine ni proxy war yaani hapa mabeberu yamezamilia kumpa hasara Russia.
Na ndicho kitakachotokea, Ukraine itakua Russia's Vietnam. Mwishowe sitashangaa Urusi akiamua kuondoa majeshi yake kimyakimya au atumie tactical nuclear weapons kumaliza mzozo kuondoa fedheha. Kumbuka mpaka sasa wamagharibi wanatenga kabisa fedha kuendesha hiyo Vita ili ipiganwe hata miaka ili uchumi wa Urusi uanguke
 
Iwe Nyukilia power isiyo ni lazima Malengo ya kumuangusha Putin yatimie ni suala la muda tu. Hivyo umeshasikia tena tambo zake za nukes tena?
Kwasasa haongelei tena nuclear war baada ya kuona West hawaogopi tena wanapeleka silaha waziwazi
 
Jamaa wanampeleka taratibu kwa mbinu kali, wanajua ataishiwa na huo ndo utakuwa muda wa kusogea Kremlin mazima
Ukiigusa kremlin kwa njia yoyote ile, siku itakayofuata ondoa watu wote kyiv mji ubaki mtupu
 
Jamaa wanampeleka taratibu kwa mbinu kali, wanajua ataishiwa na huo ndo utakuwa muda wa kusogea Kremlin mazima
Uwe unasikiliza hata maoni ya kitaalam ya hao hao wana Western badala ya propaganda kila wakati.
 
Maoni mengi ya wanataaluma, wanazuoni na think tanks wa Magharibi wanaona kabisa West wanacheza na moto wanavyojaribu kuchochea mgogoro wa Ukraine.
 
Lakini pia Urusi inachukua maeneo muhimu kila kukicha. Inamalizia kuchukua Odesa. Imeshachukua mariupol. Sio kila landmass ni muhimu katika nchi. Russia wameshaifungua Ukraine isipakane na bahari.
Wameshachukua maeneo muhimu wa uchimbaji wa chuma, makaa ya mawe na metali zingine. Wamechukua pia maeneo yenye reserves za natural gas pale Crimea na pwani yote iliyopakana na Donbas.
Sasa nani anafaidika? Anayepanda vipande vya ardhi vyenye rasilimali au anayetuma silaha bila kufaidika chochote?
Urusi wameanza kusambaza ruble katika maeneo ya Mariupol, Kherson, Zaporishia, Melitopol na Donbas.
Wameshafungua balozi za LPR na DPR mjini Moscow na mabalozi wameteuliwa.
Nini maana ya gains kiutawala, kiuchumi na kimkakati kama sio hizo?
 

Alafu nyuklia unaiacha wapi?!
 
IQ of the content=80%
 
Kinachonishanga Marekan ndo anekuwa reporter mkubwa wa upande wa Russia, siku ya Victory day walitutangazia kuwa Putin ndo atatitumia siku ya kutangaza vita kamili, lakini wala hajafanya hivo yani wanahaha hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beb
 
Haiwezekani kutumia nukes kwani hizo silaha nizakujilinda against western aggression. Mabeberu kinachowaisaidia wana ukwasi wakutosha yaani yanauwezo wakufinance vita kwa muda mrefu. Kuna video za propaganda zinaonesha conscripted soldiers wanavyolalamika jinsi Putin alivyowaingiza vitani bila kutarajia. Kama nikweli ndio issue za kukwepa gharama kwa kuwatoa sadaka vijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…