Wapi Russia walisema watatumia nukes???Vipi mbona hamtishii nukes tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi Russia walisema watatumia nukes???Vipi mbona hamtishii nukes tena
Iliishaishiwa MKUU sasa hv wanatumia majambia na mawe!!!Jana nimesikiliza BBC Urusi ipo kuishiwa silaha
Inapigana na kanchi maskini harafu hamalizi mipango ndipo tunamwona mwwpesisanaNaona mnaichukulia Russia kimchezo mchezo. Msifikili kabisa Russian hana hizo silaha kali kama hizo mnazojaribu kumpa Ukraine na tena za Russian zinaweza zikawa kali na za maangamizi makubwa zaidi. Jinsi USA inavyompushi mrusi, hii vita inaweza ikaja kuwa ya kihistoria.
Marekani ina chuki kubwa sana na Russia na anatumia nguvu nyingi sana kuieneza lakini hatafanikiwa. Anaona Russia ndio taifa pekee linalomchelewesha kuitawala dunia atakavyo
Taarifa kama hizi haziwafurahishi kabisa nyie pro RussiaThat "Anajaribu jaribu kuchukua maeneo" ilhali uhalisia keshayachukua.
How do you guys think of us? Dumb? Idiots? That you know things we don't know?
It's time now, muache kuvuta shuka kumekucha [emoji23]
Putin mwenyewe alitoa kitisho hicho, tafuta threads za humu tangia vita inaanza usome, uone jinsi alivyokuwa anatamba na nukes hapo kablaWapi Russia walisema watatumia nukes???
KGBHiki ndicho unachoweza kusema, Marekani sasa yaanzisha propaganda za kwamba Putin ana mpango wa vita ya muda mrefu ili waendelee kupeleka misaada ya kivita na kifedha, lengo likiwa ni kuyakomboa maeneo yote ya Ukraine yaliyotekwa na Urusi na hatimaye kuingia Moscow moja kwa moja na kumfurusha Putin Kremlin kadri siku zinavyoenda.
Hii inaonyesha kwamba mipango ya Wamagharibi imekwiva na kuhakikiwa vizuri.
_________________________________________
Putin anajiandaa kwa vita vya muda mrefu- Marekani
Vladmir Putin anajiandaa kwa vita vya muda mrefu nchini Ukraine, huku hata ushindi katika eneo la mashariki hautamaliza mzozo huo, idara ya kijasusi ya Marekani imeonya.
Onyo hilo linakuja huku mapigano makali yakiendelea katika eneo la mashariki, ambako Urusi inajaribu kuchukua eneo.
Moscow ilielekeza nguvu mpya kwa wanajeshi wake kuteka eneo la Donbas baada ya Ukraine kukataa majaribio ya kuchukua mji mkuu wake wa Kyiv.
Lakini licha ya hayo, vikosi vyake vimesalia katika mkwamo, taarifa za kijasusi za Marekani zilisema.
Avril Haines, mkurugenzi wa ujasusi wa kitaifa, aliiambia kamati ya Seneti ya Marekani iliyosikiza Jumanne kwamba Bw Putin bado ana nia ya "kufikia malengo zaidi ya Donbas", lakini kwamba "anakabiliwa na kutofautiana kati ya matarajio yake na uwezo wa sasa wa kijeshi wa kawaida wa Urusi".
Aliongeza kuwa rais wa Urusi "pengine" alikuwa akitegemea msaada wa Marekani na EU kwa Ukraine kudhoofika huku mfumuko wa bei, uhaba wa chakula na bei ya nishati ikizidi kuwa mbaya.
Hata hivyo, rais wa Urusi anaweza kugeukia "njia kali zaidi" huku vita vikiendelea - ingawa Moscow ingetumia tu silaha za nyuklia ikiwa Bw Putin ataona "tishio lililopo" kwa Urusi.
Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la Ulinzi Scott Berrier aliambia kikao hicho kwamba Warusi na Waukraine walikuwa "katika mkwamo kidogo".
Katika mapigano ya hivi punde zaidi, Ukraine inadai kutwaa tena makazi manne katika eneo la kaskazini-mashariki la Kharkiv.
Cherkasy Tyshky, Ruski Tyshky, Rubizhne na Bayrak wote yalinyakuliwa kutoka kwa Urusi, vikosi vya silaha vya Ukraine vilisema.
Rais Volodymyr Zelenskiy alisema mafanikio ya Ukraine yanasukuma hatua kwa hatua vikosi vya Urusi kutoka Kharkiv, ambayo imekuwa ikishambuliwa tangu vita hivyo.
Lakini alisema Waukraine "hawapaswi kuunda mazingira ya shinikizo nyingi za maadili, ambapo ushindi unatarajiwa kila wiki na hata kila siku".
Alisika mchambuzi mmoja toka KazuramimbaHiki ndicho unachoweza kusema, Marekani sasa yaanzisha propaganda za kwamba Putin ana mpango wa vita ya muda mrefu ili waendelee kupeleka misaada ya kivita na kifedha, lengo likiwa ni kuyakomboa maeneo yote ya Ukraine yaliyotekwa na Urusi na hatimaye kuingia Moscow moja kwa moja na kumfurusha Putin Kremlin kadri siku zinavyoenda.
Hii inaonyesha kwamba mipango ya Wamagharibi imekwiva na kuhakikiwa vizuri.
_________________________________________
Putin anajiandaa kwa vita vya muda mrefu- Marekani
Vladmir Putin anajiandaa kwa vita vya muda mrefu nchini Ukraine, huku hata ushindi katika eneo la mashariki hautamaliza mzozo huo, idara ya kijasusi ya Marekani imeonya.
Onyo hilo linakuja huku mapigano makali yakiendelea katika eneo la mashariki, ambako Urusi inajaribu kuchukua eneo.
Moscow ilielekeza nguvu mpya kwa wanajeshi wake kuteka eneo la Donbas baada ya Ukraine kukataa majaribio ya kuchukua mji mkuu wake wa Kyiv.
Lakini licha ya hayo, vikosi vyake vimesalia katika mkwamo, taarifa za kijasusi za Marekani zilisema.
Avril Haines, mkurugenzi wa ujasusi wa kitaifa, aliiambia kamati ya Seneti ya Marekani iliyosikiza Jumanne kwamba Bw Putin bado ana nia ya "kufikia malengo zaidi ya Donbas", lakini kwamba "anakabiliwa na kutofautiana kati ya matarajio yake na uwezo wa sasa wa kijeshi wa kawaida wa Urusi".
Aliongeza kuwa rais wa Urusi "pengine" alikuwa akitegemea msaada wa Marekani na EU kwa Ukraine kudhoofika huku mfumuko wa bei, uhaba wa chakula na bei ya nishati ikizidi kuwa mbaya.
Hata hivyo, rais wa Urusi anaweza kugeukia "njia kali zaidi" huku vita vikiendelea - ingawa Moscow ingetumia tu silaha za nyuklia ikiwa Bw Putin ataona "tishio lililopo" kwa Urusi.
Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la Ulinzi Scott Berrier aliambia kikao hicho kwamba Warusi na Waukraine walikuwa "katika mkwamo kidogo".
Katika mapigano ya hivi punde zaidi, Ukraine inadai kutwaa tena makazi manne katika eneo la kaskazini-mashariki la Kharkiv.
Cherkasy Tyshky, Ruski Tyshky, Rubizhne na Bayrak wote yalinyakuliwa kutoka kwa Urusi, vikosi vya silaha vya Ukraine vilisema.
Rais Volodymyr Zelenskiy alisema mafanikio ya Ukraine yanasukuma hatua kwa hatua vikosi vya Urusi kutoka Kharkiv, ambayo imekuwa ikishambuliwa tangu vita hivyo.
Lakini alisema Waukraine "hawapaswi kuunda mazingira ya shinikizo nyingi za maadili, ambapo ushindi unatarajiwa kila wiki na hata kila siku".
Mbona unajisahaulisha sana wewe kila siku kupeleka silaha za mabilioni ya dola tena za kisasa na mamluki wa kuwasaidi Ukraine na bado hatuoni impact zozote za hizo silaha mnazozipeleka kila siku. Nafikili mnatudanganya toto labda hakuna cha kupeleka hizo silaha kwa maana toka tuanzekusikia mnampelekea Ukraine silaha nzito na za kisasa., nilitegemea Russia angekuwa ameshafurumushwa kitambo sasa na tumeshasahau habari ya vitaInapigana na kanchi maskini harafu hamalizi mipango ndipo tunamwona mwwpesisana
Aaah hawapi zile tambo zake zote zimeishia mfukoni, kwa sasa Putin anaish kama digidigi wasi wasi muda wote
Akipiga anapigwa pia na hizo nukesNa ndicho kitakachotokea, Ukraine itakua Russia's Vietnam. Mwishowe sitashangaa Urusi akiamua kuondoa majeshi yake kimyakimya au atumie tactical nuclear weapons kumaliza mzozo kuondoa fedheha. Kumbuka mpaka sasa wamagharibi wanatenga kabisa fedha kuendesha hiyo Vita ili ipiganwe hata miaka ili uchumi wa Urusi uanguke
Na ndo maana wamekufa wengiHaiwezekani kutumia nukes kwani hizo silaha nizakujilinda against western aggression. Mabeberu kinachowaisaidia wana ukwasi wakutosha yaani yanauwezo wakufinance vita kwa muda mrefu. Kuna video za propaganda zinaonesha conscripted soldiers wanavyolalamika jinsi Putin alivyowaingiza vitani bila kutarajia. Kama nikweli ndio issue za kukwepa gharama kwa kuwatoa sadaka vijana
hahahaaaaaMuda sio mrefu raia wa urusi wataanza kuvaa mavazi yenye viraka.
hahahaaa kazuramimbaAlisika mchambuzi mmoja toka Kazuramimba
Yaaani nimechekaaaaa ...... Halafu huyu naye mtoa Uzi eti ameumbwa kwa mfano wa Mungu .... Mi nakataaa......sio kwa akili mbovu hizo anazozitema kwa kujiamini kabisaWewe ni wale watu wanajuwa sana kuandika na kupangilia maneno ya maandishi yenu ila pumba grade one. Sources
Hitler alipigwa na nani!!? We ni mpumbavu .... Mjinga ....Ww tulia ushuhudie Putin akichakazwa kama ilivyokuwa kwa Hitler