CIA inamtesa Putin vikali, yaanza maandalizi ya kumtoa rasmi Kremlin

Alafu nyuklia unaiacha wapi?!
Tatizo mnafikiri nuclear ndio ufumbuzi wa kila kitu. Ata leo vita ya nuclear ikitokea ni lazima mshindi atapatikana na maisha yataendelea haijalishi madhara kiasi gani yatakuwa yametokea.

Dunia ilishapigwa na gharika ya Nuhu na ikaangamiza kila kitu isipokuwa wateule wachache waliokuwa ndani ya safina.

Hii Dunia aliyeiumba ni Mungu na atakayeiangamiza ni yeye peke yake na wala sio Mmarekani au Mrusi na hayo mabomu yao.

Hayo mabomu ya nuclear ni hatari ila Dunia ni hatari na kubwa kuliko hao.

Mrusi arubaini yake ikifika mbona atachapika tu na apo ndipo utajua cha kujivunia hapa Dunia sio hayo michuma chuma ila Mungu pekee
 
Contents na kichwa Cha habari ni tofauti....pole
 
unahisi kutawala dunia kitu kidogo ?
 
shida ni kwamba uanyezungumzia anategemewa kwa asilimia nying sama ku stabilize uchum wa dunia had ngano za kulia chapat na supu pale Ngamu,hydom,nduguti na dongobesh jamaa anazalisha.
shida ili umuue mtu ni kuacha kununua anachouza sasa ikiwa stillna finance nyie nyie bas utabir wako huu navouona kama kweli kutaenda kutokea shift katika geopolitics za dunia kwa kiwango cha kutisha,kutazuka blackmarket zitazopiga hela ndefu sana naabilionea weng sion faid kwa west kurefusha labda watengenzea ges yao na walime wenyewe ngano yao madin mengine waache kuvaa vito wavae saa za mikanda ya chuma
 
Wewe ni wale watu wanajuwa sana kuandika na kupangilia maneno ya maandishi yenu ila pumba grade one. Sources
Acha kushusha watu kazi zao kama wewe hufuwatilii maswala ya kisiasa ni wewe ila jana kwepi Al-Jazeera walimuonyesha huyo mama na alisema hiki amendika unabisha google hilo jina youtube upate taarifa
 
Hayo yote yanarudishwa Ukraine muda si mrefu, ukusikia may 9 bwana Putin alivyolialia kuwa wanataka kumvamia
 
Zitatafutwa njia mbadala
 
Hizo ni Propaganda za US! US anachofanya ni kujenga hofu na vitisho ili aendelee kupeleka silaha zilizokwisha kazi ili zikatupwe Ukraine.
 
Hizo ni Propaganda za US! US anachofanya ni kujenga hofu na vitisho ili aendelee kupeleka silaha zilizokwisha kazi ili zikatupwe Ukraine.
Siyo kutupwa tu bali zinaenda kufagia kabisa jeshi la Urusi, ikipendeza zaidi ni kufagia had Kremlin
 
Kichwa cha habari na Yale yaliyomo... Ni tofauti kabisa.
 
Hiya Mauripol pi?
 
Excellent!

Ungeandika haya maandishi kwa herufi kubwa.
 
Unamuona west wa kawaida mbele ya Russia? Unaijua west vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…