Tumemfanyia mtoto wetu circumsicion.
Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?
...si kweli! ndio yale yale ya mama mjamzito kukatazwa kula mayai, au mtoto kubemedwa!
wakuu jamani mila zipo!!
ndugu yangu nikweli na ukikaidi jaribu utakuja kushuhudia.
Vile wewe usivyoweza kufanya wakati ukiwa na kidonda uumeni vivi hivyo kwa mtoto.Unajua tumeng'ang'ania sanaa sayansi na kusahau kuwa kuna mila na desturi za kiafrica.
Kikubwa wala usibashane nakutafuta wanasayansi pevuko hapa wewe kama unaona kama ni uzushi you just rape your wife and do.halafu utaona then uje utoe ushuhuda.
...ehh π
kwani mtoto naye anafanya nini wazazi wake wakiwa 'wanafurahishana'?
...hee, yamekuwa hayo tena? kwenye ndoa hakuna rape bana.
kurape ninavyofahamu kwa uwezo wangu mdogo ni kufanya mapenzi au tendo la ndo na mwenzi wako bila ridha yake.
Hivyo huyu ndugu yetu anataka kula kitu mywife wake anasema hakuna kula au kumega mpaka mtoto apone sasa ukilazimisha so ndo kurape jamani?au nikufanyaje?
mie nilimfanyia baby hivyo lakini tuliendelea kuserebuka kama kawaida, lakini kama mamake amekwambia hayo c usubiri tu, hapo umeona wiki kama mwaka vile....
wakuu jamani mila zipo!!
ndugu yangu nikweli na ukikaidi jaribu utakuja kushuhudia.
Vile wewe usivyoweza kufanya wakati ukiwa na kidonda uumeni vivi hivyo kwa mtoto.Unajua tumeng'ang'ania sanaa sayansi na kusahau kuwa kuna mila na desturi za kiafrica.
Kikubwa wala usibashane nakutafuta wanasayansi pevuko hapa wewe kama unaona kama ni uzushi you just rape your wife and do.halafu utaona then uje utoe ushuhuda.
Tumemfanyia mtoto wetu circumsicion.
Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?
Wiki nyingi sana Nyamayao!
Na hasa kunapokuwa na sababu zisizoeleweka kama hizo!
Hadi nikawa nafikiri nirudi kwa CHEUSI, yule wa zamani...!
Tumemfanyia mtoto wetu circumsicion.
Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?
....za nini?Kusanya nguvuπ
Tumemfanyia mtoto wetu circumsicion.
Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?