Circumsicion IMETUVURUGA...

Circumsicion IMETUVURUGA...

kwani mtoto naye anafanya nini wazazi wake wakiwa 'wanafurahishana'?

Kufanya tendo la ndoa ni sababu moja wapo kati ya nyingi zinazopunguza kinga ya mwili,

Mtoto huwa anapata kinga ya mwili kutoka katika maziwa ya mama kwa njia ya natural passive immunity, hivyo kitendo cha kufanya tendo la ndoa wakati mtoto ana kidonda kinga ya mama inapungua na mtoto akinyonya maziwa yanakuwa hayana kinga yoyote na kupelekea kidonda kuchelewa kupona.

Hii pumba! Tangu lini kufanya mapenzi kunapunguza kinga?
 
Hii pumba! Tangu lini kufanya mapenzi kunapunguza kinga?

...e bana wee, wanaume wakware hawakosi vijisababu vya kuzurura nje, au kutumia muda mwingi nyumba ndogo wakati mama watoto ananyonyesha!

Kaitaba labda uje na ufafanuzi mwingine wa kisayansi kwanini kufanya mapenzi kunapunguza Kinga mwilini.
 
Tumemfanyia mtoto wetu circumsicion.

Mke wangu anasema haturuhusiwi kufanya tendo la ndoa hadi wiki moja ipite, maana tukithubutu tu, mtoto atachukua muda mrefu zaidi kupona. Mi sikubaliani na madai yake na nilifikia hatua ya kumwadhibu kidogo, lakini ameshikilia msimamo!
Je wanaJFkuna ukweli gani juu ya madai ya huyu mwanamke?

Kaka umeshaanza kupewa???? Maana muda unaenda ati!!
 
Back
Top Bottom