mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo Tanzania haikuwai kuwa na wahujumu uchumi zile kelele miaka yote zilikuwa ni za kisiasa?kabisa mkuu. Wewe emagine watu wako mahabusu kwa miaka 5 eti upelelezi wa makosa yao ya uhujumu uchumi unaendelea.
Marehemu alijawa na roho katili, ukomoaji na uporaji.
Nasema uongo ndugu zangu?