Citizen Tv ya Kenya yaomba msamaha kwa matumizi ya "Ukaidi wa Magufuli"

Citizen Tv ya Kenya yaomba msamaha kwa matumizi ya "Ukaidi wa Magufuli"

Ingekuwa ni media uchwara za Tz ndio zimeandika jambo lolote lile kuhusu Kenya. Hata iwe tusi la wazi wazi, hakuna mkenya yeyote angelia lia kama watz. Tungepuuzilia tu na hatungepoteza muda wa balozi wetu Dan Kazungu kule Dar. Nyang'au anatamba kweli kweli ukanda huu. Hongera kwa Citizen TV, RMS na media za Kenya kwa ujumla. Watz endeleeni kufaidi na kufatilia uanahabari wa hali ya juu kutoka kwa wakenya na mueleze media zenu zijifunze pia.
Haitaki makasiriko.
IMG_20200414_214627_055.JPG
 
UJUMBE ulishafika.......wanaomba Msamaha baada ya wiki 3?
 
Ingekuwa ni media uchwara za Tz ndio zimeandika jambo lolote lile kuhusu Kenya. Hata iwe tusi la wazi wazi, hakuna mkenya yeyote angelia lia kama watz. Tungepuuzilia tu na hatungepoteza muda wa balozi wetu Dan Kazungu kule Dar. Nyang'au anatamba kweli kweli ukanda huu. Hongera kwa Citizen TV, RMS na media za Kenya kwa ujumla. Watz endeleeni kufaidi na kufatilia uanahabari wa hali ya juu kutoka kwa wakenya na msisahau kueleza media zenu zijifunze na ziige pia.
Unajua ujinga wenu ni kuamini mnachofanya ni sawa? Ila FYI sidhani kama ur approach on coronavirus is effective!
 
Tatizo lako unakuwaga mbishi halafu unatumia maneno mengi kuhalalisha ubishi wako wa kishamba humu,
Yaani hujagundua hata kuwa hiyo video kwenye hiyo tweet imerekodiwa kupitia iPhone screen recording!
Hapa nakupa link ya youtube angalia mwishoni mwishoni kwenye -2:

Hakuna mahali nimeonahio kitu kama hicho, hapo kwa -2 wanaonglea kuhusu Blood bank crisis.... Na hata kama kitendo hicho kilifanyika, mnakubalije msamaha ambao hauna mahala popote unaoweza kuonekana?

Kumbuka tokea juzi mmekua mkijisifu kwamba World Bank imetangaza eti Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na Corona, sasa WB imetoa taarifa kukana kwamba ilisema hivyo!!!!!
 
Hakuna mahali nimeonahio kitu kama hicho, hapo kwa -2 wanaonglea kuhusu Blood bank crisis.... Na hata kama kitendo hicho kilifanyika, mnakubalije msamaha ambao hauna mahala popote unaoweza kuonekana?

Kumbuka tokea juzi mmekua mkijisifu kwamba World Bank imetangaza eti Tanzania ni mfano wa kuigwa katika kupambana na Corona, sasa WB imetoa taarifa kukana kwamba ilisema hivyo!!!!!
Huwa unafaidika nini na huu ubishi wako wa kishamba humu!
Unabisha hadi vitu vinavyo onekana!
Nimekupa link ya live stream bado unasema eti haipo,
Au hujui kuwa dakika ya hiyo sehemu hubadikika kadri dk zinavyoenda,
Hapa sasa hivi nimeangalia unavyobisha hapa ni - 2:56:04,
Ila sishangai kwa sababu tabia ya ubishi wa kijinga ni kawaida yenu.
C%201.PNG
 
Huwa unafaidika nini na huu ubishi wako wa kishamba humu!
Unabisha hadi vitu vinavyo onekana!
Nimekupa link ya live stream bado unasema eti haipo,
Au hujui kuwa dakika ya hiyo sehemu hubadikika kadri dk zinavyoenda,
Hapa sasa hivi nimeangalia unavyobisha hapa ni - 2:56:04,
Ila sishangai kwa sababu tabia ya ubishi wa kijinga ni kawaida yenu. View attachment 1419271
Sawa basi, waliomba msamaha ambao unapotea na upepo,Kesho itakua hakuna mtu anaweza kupata hio taarifa...... na hii nayo mnasemaje?
2368381_1586873378980.png
 
Sawa basi, waliomba msamaha ambao unapotea na upepo,Kesho itakua hakuna mtu anaweza kupata hio taarifa...... na hii nayo mnasemaje?
2368381_1586873378980.png
Wamekuambia wanaifuta?
Umeona nikipost taraarifa za wb?
Wapelekee blogs zilizopost,
Unabadilisha magoli ya nini!
Akili fupi kama sabuni za lodge.
 
Wamekuambia wanaifuta?
Umeona nikipost taraarifa za wb?
Wapelekee blogs zilizopost,
Unabadilisha magoli ya nini!
Akili fupi kama sabuni za lodge.
Kama ombi hilo la msamaha lipo kwa timeline ya live stream pekee, na haiko kwa tovuti ya Citizen ama kwa twitter ama kwa chapisho lolote rasmi la Citizen, basi ikifika kesho itakua ilifutika hapo kwa live stream na hakutakua na ushahidi wowote kwamba Citizen TV waliomba msamaha....
 
Unajua ujinga wenu ni kuamini mnachofanya ni sawa? Ila FYI sidhani kama ur approach on coronavirus is effective!
Kwenye ubongo wako.
Itakuwa mnalialia kwasababu walichosema Citizen Tv ni ukweli mtupu. Hayo ni maoni yao binafsi lakini, kama wanahabari. Mnakumbuka ule upumbavu wa vikaragosi vyenu vya GoT, ambao ndio huwa mnawaita wanahabari nchini Tz? Baada ya vikosi vyenu vya usalama kumkamata, kudhulumu na kujaribu kumbaka mwanahabari mkenya Muthoki Mumo? Sakata za aina hiyo ndio za kuchomoleana silaha, ila kwasababu wakenya tunaelewa upumbavu wa chama chenu cha mafisi tuliwapuuza hadi akili zenu zikawarudia. Baada ya serikali yenu kujiaibisha, kama kawa.
angela-quintal-inset.jpeg
 
Itakuwa mnalialia kwasababu walichosema Citizen Tv ni ukweli mtupu. Hayo ni maoni yao binafsi lakini, kama wanahabari. Mnakumbuka ule upumbavu wa vikaragosi vya GoT, ambao ndio huwa mnawaita wanahabari nchini Tz? Baada ya vikosi vyenu vya usalama kumkamata, kudhulumu na kujaribu kumbaka mwanahabari mkenya Muthoki Mumo? Hiyo sasa ndio ilikuwa sakata ya kuchomoleana silaha, ila kwasababu wakenya tunaelewa upumbavu wa chama chenu cha mafisi tuliwapuuza hadi akili zenu zikawarudia. Baada yenu kujiaibisha, kama kawa.
angela-quintal-inset.jpeg
Nyang'au una matatizo sana. Hujielewi. Tafuta kioo ujiangalie.
 
Itakuwa mnalialia kwasababu walichosema Citizen Tv ni ukweli mtupu. Hayo ni maoni yao binafsi lakini, kama wanahabari. Mnakumbuka ule upumbavu wa vikaragosi vya GoT, ambao ndio huwa mnawaita wanahabari nchini Tz? Baada ya vikosi vyenu vya usalama kumkamata, kudhulumu na kujaribu kumbaka mwanahabari mkenya Muthoki Mumo? Hiyo sasa ndio ilikuwa sakata ya kuchomoleana silaha, ila kwasababu wakenya tunaelewa upumbavu wa chama chenu cha mafisi tuliwapuuza hadi akili zenu zikawarudia. Baada yenu kujiaibisha, kama kawa.
angela-quintal-inset.jpeg
Duu, hii ni kali aisee, sasa imekua mabo ya cold war
 
Citizen TV baada ya malalamiko ya balozi wa Tanzania nchini Kenya wameona kheri yaishe na kutengua kauli hiyo


Pia soma > CCM mmeona nchi jirani wasemavyo kuhusu Rais Magufuli? - JamiiForums
Stupid Kenyans, how can you describe our President as a stubborn man,hata kama amekosea maamuzi,yanatuhusu ss,na sio nyinyi,stop meddling on our issues,hii ni dharau kubwa sana,hivi mnafikiaje hatua ya kumsema Rais wetu kwenye vyombo vya habari!jinga sana!
 
Kama ombi hilo la msamaha lipo kwa timeline ya live stream pekee, na haiko kwa tovuti ya Citizen ama kwa twitter ama kwa chapisho lolote rasmi la Citizen, basi ikifika kesho itakua ilifutika hapo kwa live stream na hakutakua na ushahidi wowote kwamba Citizen TV waliomba msamaha....

Alafu akili fupi ni nyanyako mzaa mamako!
Ukiona wanarusha live stream kwa youtube ujue kuwa hiyo live stream inaonekana pia kwenye tv yako hapo nyumbani,
Wakenya milioni ngapi wanatizama citizen tv?
Kingine ilikuwa ni kipindi cha habari,
Kipindi cha habari kinafuatiliwa na wakenya wengi ili wafahamu kinachoendelea nchini kwao,
Kilaza una akili fupi halafu unadhani kila mtu ana akili fupi kama wewe..hapo ndipo unapokosea,
Binafsi niliona twitter kule mkenya kapost nikacopy hiyo tweet nikaipost humu then ukakurupuka kuniquote nikaenda youtube nikatafuta hiyo video nikaileta humu,
Akili fupi kama sabuni za lodge [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Itakuwa mnalialia kwasababu walichosema Citizen Tv ni ukweli mtupu. Hayo ni maoni yao binafsi lakini, kama wanahabari. Mnakumbuka ule upumbavu wa vikaragosi vyenu vya GoT, ambao ndio huwa mnawaita wanahabari nchini Tz? Baada ya vikosi vyenu vya usalama kumkamata, kudhulumu na kujaribu kumbaka mwanahabari mkenya Muthoki Mumo? Sakata za aina hiyo ndio za kuchomoleana silaha, ila kwasababu wakenya tunaelewa upumbavu wa chama chenu cha mafisi tuliwapuuza hadi akili zenu zikawarudia. Baada ya serikali yenu kujiaibisha, kama kawa.
angela-quintal-inset.jpeg
Ndio mpunguze shobo,
Kinachokuuma ni citizen tv kukiri kuwa wamekosea na kuomba msamaha [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua nimeona kila kitu kumbe kuna wivu wa namna hii!
 
Ingekuwa ni media uchwara za Tz ndio zimeandika jambo lolote lile kuhusu Kenya. Hata iwe tusi la wazi wazi, hakuna mkenya yeyote angelia lia kama watz. Tungepuuzilia tu na hatungepoteza muda wa balozi wetu Dan Kazungu kule Dar. Nyang'au anatamba kweli kweli ukanda huu. Hongera kwa Citizen TV, RMS na media za Kenya kwa ujumla. Watz endeleeni kufaidi na kufatilia uanahabari wa hali ya juu kutoka kwa wakenya na msisahau kueleza media zenu zijifunze na ziige pia.
Ficha upumbavu wako huko,kipindi Fulani Museveni alipokuwa akihutubia kwenye sherehe mmoja hapo Kenya,alisema wakenya walioko mpakani mwa Uganda waache kuiba ng'ombe wake,wakenya mlipiga sana kelele,mbona hamkupotezea kama unavyosema?
 
Back
Top Bottom