mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,136
- 4,271
Hilo ni jambo la kawaida kwenye nchi zenye media freedom na wala si jambo la kuumiza kichwaStupid Kenyans, how can you describe our President as a stubborn man,hata kama amekosea maamuzi,yanatuhusu ss,na sio nyinyi,stop meddling on our issues,hii ni dharau kubwa sana,hivi mnafikiaje hatua ya kumsema Rais wetu kwenye vyombo vya habari!jinga sana!
Sent using Jamii Forums mobile app