Citizen Tv ya Kenya yaomba msamaha kwa matumizi ya "Ukaidi wa Magufuli"

Citizen Tv ya Kenya yaomba msamaha kwa matumizi ya "Ukaidi wa Magufuli"

Upuuzi mtupu, kadanganyaneni wenyewe huko, tangu lini JPM alizima Citizen TV isionekane TZ...

Halafu mnajiita mabepari wakati mabepari wanaoongoza kwa utajiri zaidi na kutambulika kimataifa kutoka EA wote in kutoka TZ.
Mwanahabari wa Citizen TV ndo kasema walitishiwa kufungiwa kupeperusha stesheni ya Citizen huko TZ, na wakapewa masharti yepi ambayo lazima wafanye ndo waruhusiwe TZ.

Alafu kwa hilo la ubebari hata usianze...... hayo ni mambo ya baadae kwasasa tupambane na corona
 
You're so comfortable boasting about a few Indian men owning all the wealth in your country while the rest are dirt poor?
Read and re-read my comment.
There is no Arab or Indian in our constitution, its just Tanzanian.
So Rephrase
 
Read and re-read my comment.
There is no Arab or Indian in our constitution, its just Tanzanian.
So Rephrase
Wake up from your slumber dude. You can put your head in the sand but the reality is there. This is one of the reasons black people are despised all over the world, you come to a black country and you meet billionaires of foreign origin while Africans are paupers.
 
Wake up from your slumber dude. You can put your head in the sand but the reality is there. This is one of the reasons black people are despised all over the world, you come to a black country and you meet billionaires of foreign origin while Africans are paupers.
Black people are despised because of our own infriority complex that leads us to do exactly what it is you are doing, belittling each other and always finding falt in each other. I know not any other reason
 
You're so comfortable boasting about a few Indian men owning all the wealth in your country while the rest are dirt poor?
Wewe huyo Chris Kirubi kasaidia nn kwa covid19 fight? Nimeona kanunua shares baada ya shares at NSE ku-collapse kutokana na janga la coronavirus! Humprey Kariuki je? Uhuru Kunyatta na Brookside dairy?
 
Who is the villain here? Idadi ya maambukizo Tanzania 170.
 
Salary Slip,
Mkuu leo nimekutana na msafara wa ambulance 6 na kati ya hizo lipo lile likubwa na nyuma ya hizo ambulance kuna gari mbili zimapakia watu wamejikoki mask balaa! Tuombe tu Mungu
tuzidi kuomba Mungu huku tukichukua tahadhari zilizopo.
 
Back
Top Bottom