Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Pana dada mmoja asubuhi anapika supu ya kuku hapo Mwanjelwa Stand ya Tukuyu zamani karibu na duka la Nafuu Phone mgongo wa kuku wa kienyeji na mayai yake ndani buku tano au sita pamoja na shingo hizo pande zina lishe nzuri ni mpaka uambiwe machimbo yake...nyama choma nenda Soweto pale ukimuuliza mtu yeyote anakuonyesha jina nimesahau...Siku nyingine naenda hapo SAE.
City Garden noma sana.Nisingelipa
namwitaje mhusika anagoma
Baada ya kupata mshahara au kilasiku mkuuMbeya pazuri nilipata kitimoto choma safi kabisa, sikujutia 14 yangu niliyolipia
Nimetoka mishe mishe zangu huko baada ya safari nikaulizia wapi naweza kupata nyama/kuku choma wapambe wakaniambia wahi City Garden, iliyopo sehemu zamani maarufu kama Mafiati.
Pamoja na kabaridi nikaagiza bia baridi na kabla hata sijamaliza glasi moja, sahani ya kuku hiyoo. Kuingiza jino tu, wallahi ikawa kama manati. Vuta, vuta na wewe!
Kuku hana vingo, no marination, generally ni kama amebabuliwa tu na moto.
Nikamwita mhudumu aniitie chef. Chef akakataa kuja, ati yuko busy, kubabua kuku wengine.
Nikamshukuru mhudumu ni nikampa angalizo kuwa kuenda hapo kwa nyama/kuku choma ni mara ya mwisho na awafikishie ujumbe uongozi.
Nikaondoka.
Tukio hili ni jana tu.
Mteja ukitaka kula nyama mbichi wahi City Garden Mbeya.
Tena wewe inaelekea unapika vinatoka vyakula vibichi.Usije tena kwetu mbeya🤒
🤣🤣🤣🤣🤣Jaman Nimecheka kweli...daaaTena wewe inaelekea unapika vinatoka vyakula vibichi.
Siji kwako ng'o!
Pale wanajitahidi, kuna samaki wazuri sana. Mara moja moja nikaenda Mbeya, naenda kwa mmoja hivi pale soweto anapika vizuri sana.Siku nyingine naenda hapo SAE.
Ni sahihi hata mimi nilitaka kuandika hili. Kwa kitimoto ndio wenyewe.Mbeya wewe kula kitimoto tuu ndo wanajua kuichoma na kupika. Nyqmq zingine kula huko mikoa mingine.
Pia kuna mmoja yupo Soweto nae ni fundi kwa kweli japo pale SAE nao wanatisha kwa mikosi.Pana dada mmoja asubuhi anapika supu ya kuku hapo Mwanjelwa Stand ya Tukuyu zamani karibu na duka la Nafuu Phone mgongo wa kuku wa kienyeji na mayai yake ndani buku tano au sita pamoja na shingo hizo pande zina lishe nzuri ni mpaka uambiwe machimbo yake...nyama choma nenda Soweto pale ukimuuliza mtu yeyote anakuonyesha jina nimesahau...
🤣🤣🤣Nimetoka mishe mishe zangu huko baada ya safari nikaulizia wapi naweza kupata nyama/kuku choma wapambe wakaniambia wahi City Garden, iliyopo sehemu zamani maarufu kama Mafiati.
Pamoja na kabaridi nikaagiza bia baridi na kabla hata sijamaliza glasi moja, sahani ya kuku hiyoo. Kuingiza jino tu, wallahi ikawa kama manati. Vuta, vuta na wewe!
Kuku hana vingo, no marination, generally ni kama amebabuliwa tu na moto.
Nikamwita mhudumu aniitie chef. Chef akakataa kuja, ati yuko busy, kubabua kuku wengine.
Nikamshukuru mhudumu ni nikampa angalizo kuwa kuenda hapo kwa nyama/kuku choma ni mara ya mwisho na awafikishie ujumbe uongozi.
Nikaondoka.
Tukio hili ni jana tu.
Mteja ukitaka kula nyama mbichi wahi City Garden Mbeya.
Pale karibia na bank panaitwaje?Pale hawajui kuchoma kuku ..ilinishinda Kula .
Wacha weeeee, vipi ulipata mme?Sasa mbeya ni mji mbeya nikijiji so msilalamike
Kuna pub nyingine huku Mafiati.City Garden/City Pub?
Eh weweWacha weeeee, vipi ulipata mme?