City Garden (Mbeya) hawajui kuchoma nyama!

Siku nyingine naenda hapo SAE.
Pana dada mmoja asubuhi anapika supu ya kuku hapo Mwanjelwa Stand ya Tukuyu zamani karibu na duka la Nafuu Phone mgongo wa kuku wa kienyeji na mayai yake ndani buku tano au sita pamoja na shingo hizo pande zina lishe nzuri ni mpaka uambiwe machimbo yake...nyama choma nenda Soweto pale ukimuuliza mtu yeyote anakuonyesha jina nimesahau...
 
Mbeya wewe kula kitimoto tuu ndo wanajua kuichoma na kupika. Nyqmq zingine kula huko mikoa mingine.
 
Pole sana. City Garden ya Dar es Salaam wanajitahidi sana...
 

Pole kwa changamoto ulipaswa kuagiza maparachichi mkuu
 
Pia kuna mmoja yupo Soweto nae ni fundi kwa kweli japo pale SAE nao wanatisha kwa mikosi.
 
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…