WapendwJF
Naomba msaada wa kupata nakala ya Kitabu tajwa hapo.Kitabu hiki kwa sasa hakipatikana kwa urahisi kufuatia publisher wake MKUKKI kutotoa vitabu kwa muda mrefu.Nimejaribu kutafuta Amazon,nako hakipatikani.Kwa mantiki hiyo naomba kwa yeyote aliyenacho anisaidie kupata soft copy.Wanawasilisha tafadhali.
Ahsante
Ahsante kwa ushauri wako,lakini inakuwa ngumu kwangu kwa sababu niko nje ya nchi.Ninazidi kuomba kwa msamaria aliye na soft copy anisaidie.Kama upo Dar, nenda maeneo ya Tancot house. Kuna wajamaa wanaouza vitabu. Show them Tshs 30k, tell them the book you want then wait for about ten minutes. Watakuletea.
WapendwJF
Naomba msaada wa kupata nakala ya Kitabu tajwa hapo.Kitabu hiki kwa sasa hakipatikana kwa urahisi kufuatia publisher wake MKUKKI kutotoa vitabu kwa muda mrefu.Nimejaribu kutafuta Amazon,nako hakipatikani.Kwa mantiki hiyo naomba kwa yeyote aliyenacho anisaidie kupata soft copy.Wanawasilisha tafadhali.
Ahsante
Hon chipeta haaaaaaaaaaa Napenda vitabu vyake Vipo goood!!!