WapendwJF
Naomba msaada wa kupata nakala ya Kitabu tajwa hapo.Kitabu hiki kwa sasa hakipatikana kwa urahisi kufuatia publisher wake MKUKKI kutotoa vitabu kwa muda mrefu.Nimejaribu kutafuta Amazon,nako hakipatikani.Kwa mantiki hiyo naomba kwa yeyote aliyenacho anisaidie kupata soft copy.Wanawasilisha tafadhali.
Ahsante
Naomba msaada wa kupata nakala ya Kitabu tajwa hapo.Kitabu hiki kwa sasa hakipatikana kwa urahisi kufuatia publisher wake MKUKKI kutotoa vitabu kwa muda mrefu.Nimejaribu kutafuta Amazon,nako hakipatikani.Kwa mantiki hiyo naomba kwa yeyote aliyenacho anisaidie kupata soft copy.Wanawasilisha tafadhali.
Ahsante