kiambu mafia,kwanza naomba nikusifu kwa jitihada zako za kujaribu kujibu hoja kwa ustaarabu japo kidogo..historia inajitosheleza unless you are in dark side of it..odinga snr alikuwa ndie awe rais,lakini aliwagomea wakoloni kwanza wamtoe kinyatta snr gerezani kwanza ndio wakenya wapate uhuru..mzee kinyatta alivyotoka jela akawageuka na kuanza kuwazawadia wakikuyu (mau mau fighters)wenzake nafasi nyeti na kuwasahau waliokuwa wakipigania uhuru wakiwa nje..odinga snr alivyo ona hivyo akalalamika,kenyatta akimtosa u vp..kumbuka ufunguzi wa new Rusia hospital kisumu..watu waliuwawa..mara kifo cha kipenzi cha waluo Tom mboya alieuwawa na hitman mkikuyu...moi alivyoingia madarakani aliside line luos kama haitoshi akamuuwa na kijana wao kipenzi Robert ouko...kibaki alipoingia madarakani pamoja na kusighn Mou na odinga lakini alikuja akaitupilia mbali na kuwapendelea wakikuyu wenzake,karume,michuki etc...mara akauwawa msomi wa kijaluo aliyekuwa anaongoza mchakato wa katiba odhiambo mbai...kumbuka biashara za bi mdogo wa kibaki drugs,arthur brothers..kenyatta family wanamiliki ardhi kubwa sana kuanzia mombasa hadi central juzi kawagawia walowezi baada ya kusemwa semwa..ugomvi btw kalenjins na kikuyu ni chuki ya siku nyingi kutokana na wakikuyu kumiliki ardhi yao siku nyingi...nakuomba upitie sticky threads kuna threads zinaonyesha uovu wa kikiyus,ni wakabila sana..kwa muda nilikaa kenya 15yrs on and off the country,nimejifunza mengi sana..wakenya ukabila umewagawa sana..leo saitoti anauwawa kisa icc na list ya ma drug barons..leo mutula amepewa sumu kisa icc na msimamo wake juu ya uhuruto.
Crucial Man
I would like to know what friends you had in Kenya, from your perspective of Kenyas history and politics, I can bet most of them were Luos.
The average Luo is more social than the average Kikuyu. He is more open to casual friendship and like talking. On the other hand a Kikuyu will rarely make friendship for the sake of it even to fellow Kikuyus.
Ukiona Mkikuyu anafanya urafiki na wewe, ni juu ameona kuna jinsi ambavyo mnaweza saidiana nawe inabidi uwe mjanja na uwe chonjo juu ukilalia masikio, ole wako. Hivi wafanya hata wao kwa wao.
Jambo moja kubwa linaloleta tofautu hii kati ya Kikuyu na Wajaluo ni kua, Kikuyus largly depend on individual effort, while Luos work on collective/communal effort. This probably explains the ideological difference between Mzee Kenyatta(Babake Uhuru) and Mzee Jaramogi(Babake Raila).
A Kikuyu is trained from young age to be self sufficient and not dependent.
One other major diffence btn Kikuyus and Luos is that, while Kikuyus entertain self doubt and own up to his mistakes, a Luo is a self rightious man by his understanding who never make mistakes and when they happen it must be the other guy, and that guy the Luos have come to him as Kikuyus..
Due to the selfrightiousness of the Luos and self doubt of the Kikuyus, a Luo will exude more confidence than a Kikuyu anytime and will probably win in alll situations demanding only the mode of presentation and nothing more but where measurable results are at stake the Kikuyu will always have it. This explains why he almost always get what he wants, he wieghs all the variables and hence the doubt
Kwa swala la Jaramogi kumwachia Kenyatta, Mauaji huko New Rusia hospital Kisumu. Mwenye alikupea habari hii hakukupea ikiwa yote, alikueleza ile sehemu ambayo angependa ujue peke yake.
Mwanzo si kama vile Jaramogi alimwachia Kenyatta, Kenyatta tayari alikua Mashuhuri kwa Wakenya na walikua wakishinikiza aachiliwe. Wakati huo Jaramogi hakua na umaarufu zaidi ya kabila lak la Luo.
Mzungu alikua anataka kumpea mamlaka kwa vile alikua hawapei shida kama vile Kenyatta, walimuona kama mtu ambaye angefanya vile wange mwambia. Kenyatta kwa upande mwingine alikua kichwa ngumu.
Jaramogi hakua na lingine ila kukataa mwito huo kwani Wakenya walikua wameshatamtambua Kenyatta kama aliye pigania Uhuru(aliye ongoza). Jaramogi angekubali angeonekana kama msaliti na hangekubalika na Wakenya.
Yale mauaji ya watu Russia hOspital, mwenye kukueleza hakukuambia kua, Jaramogi alikua amewapanga hooligans ambao wlimshambulia Rais wa wakati huo na mawe. Ebu waza hivi, Rais Nyere atembelee sherehe fulani, halafu vija wamzunguke huku wamejihami na mawe wakitaka kumuua, askari wenye kumpe ulinzi watafanya nini? Makosa yalikua ya Jaramogi alitenda kitendo kisicho cha uelevu.
Maneno ya Kuuwa kwa Mboya Ouko na wengine ni porojo tu, sasa mboya(Luo) aliuawa na Kenyatta(Mkikuyu), naye Ouko(Luo) akauawa na Moi(Kalenjin), jiulize kwani ni Jaluo tu wanauawa. Shida ni kua Wajaluo wamejifunza kuelekeza kidole kwo lolote lifanyikalo hata bila ushahidi.
Saitoti alikufa, kidole kikaelekezwa kwa Mkikuyu, Mutula ame kufa na kama kawaida lazima kutafutwe ni Mkikuyu mgani anawaza kua ame fanya hivyo hata bila ushahidi.
Hizo sticky threads unaongea juu yake, nyingi zimeandikwa na propagandist wa Raila amboa wanaongozwa na chuki na Kijicho..
Ukukubaliana na lolote Mjaluo anakwambia kuhusu Mkikuyu utaishia kuamini Mkikuyu ni shetani na yeye Mjaluo Malaika.
Very sad!