Clatous Chota Chama amejivunjia sana heshima kwenda Yanga, Hana mchango wowote ule

Clatous Chota Chama amejivunjia sana heshima kwenda Yanga, Hana mchango wowote ule

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Jana watu wanapiga kelele mitaani ingiza Chama, ingiza Chama, akaingizwa kweli bana, kwa kweli jamaa amepoteza kabisa heshima yake, jina lake lilikuwa kubwa sana hapa nchini, kila mtu alimuimba, Yanga walimuimba Simba ndio usiseme, leo Chama wa kuingia kipindi cha 2 kweli? Yaan Hana uhakika wa kuanza pale Yanga, jana pale Algeria alikuwa anacheza rafu tu, sio kawaida yake kucheza rafu lkn mjerumani ndio kamfundisha unadhan atafanyaje

Naishauri Simba ikae nae imrudishe tu akamalizie soka lake
 
Timu za Tanzania Ni mdomo tu Uwanjani Ni ZERO
Ukweli hata Simba leo Naiona Aibu kabisa
 
Timu za Tanzania Ni mdomo tu Uwanjani Ni ZERO
Ukweli hata Simba leo Naiona Aibu kabisa
 
Tasaf fc
1000016455.jpg
 
Jana watu wanapiga kelele mitaani ingiza Chama, ingiza Chama, akaingizwa kweli bana, kwa kweli jamaa amepoteza kabisa heshima yake, jina lake lilikuwa kubwa sana hapa nchini, kila mtu alimuimba, Yanga walimuimba Simba ndio usiseme, leo Chama wa kuingia kipindi cha 2 kweli? Yaan Hana uhakika wa kuanza pale Yanga, jana pale Algeria alikuwa anacheza rafu tu, sio kawaida yake kucheza rafu lkn mjerumani ndio kamfundisha unadhan atafanyaje

Naishauri Simba ikae nae imrudishe tu akamalizie soka lake
 
Back
Top Bottom