Clatous Chota Chama amejivunjia sana heshima kwenda Yanga, Hana mchango wowote ule

Clatous Chota Chama amejivunjia sana heshima kwenda Yanga, Hana mchango wowote ule

Jana watu wanapiga kelele mitaani ingiza Chama, ingiza Chama, akaingizwa kweli bana, kwa kweli jamaa amepoteza kabisa heshima yake, jina lake lilikuwa kubwa sana hapa nchini, kila mtu alimuimba, Yanga walimuimba Simba ndio usiseme, leo Chama wa kuingia kipindi cha 2 kweli? Yaan Hana uhakika wa kuanza pale Yanga, jana pale Algeria alikuwa anacheza rafu tu, sio kawaida yake kucheza rafu lkn mjerumani ndio kamfundisha unadhan atafanyaje

Naishauri Simba ikae nae imrudishe tu akamalizie soka lake
Hata chai umekunywa kweli mzee?
 
IMG-20241102-WA0073.jpg
 
Chama hawezi kuitumikia yanga zaidi ya misimu miwili lakini atapata ufalme Kama alioupata Simba. Aliangalia pesa Ila heshima yake baada ya mpira haitakuwepo
 
Back
Top Bottom