Claudio-Kijana wa Kitanzania aliyepasua 99% mtihani wa Hesabu Havard

Claudio-Kijana wa Kitanzania aliyepasua 99% mtihani wa Hesabu Havard

MR.NOMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
339
Reaction score
505
Kijana huyu mwenye amri mdogo ana akili iliyotulia kinoma, miaka ya hivi karibuni alifanya kazi katika Shirika la Twaweza akiwa kama Assistant data analyst alibahatika mwaka jana Mwanzoni kupata ajira nyingine huko ughaibuni - barani ulaya katika shirika kubwa la masuala ya utafiti ambapo ameitumikia kwa takribani mwaka 1.

Na sasa miezi kadhaa iliyopita alifanya mtihani mgumu wa hesabu kujiunga na Chuo kikuu cha havard huko USA na alifauli kwa kupata asilimia 99 ya alama za mtihani huo. Serikali yetu inatakiwa kuwashika mkono vijana wa namna hii kwa kuwa ni hadhina nzuri kwa taifa.

Kijana amesoma shule ya kata hajawahi kusoma ulaya ila kwa elimu yake aliyopata Tz anaitisha dunia na kuwazidi wazungu akili.

All the best Claudio Mlamka.
 
Ndio wewe unajitangaza nini?

Mtihani wa havard alioufanya na kupata 99% ndio unapaswa uwafanye havard wampe scholarship..

Serikali vipanga inawasukumia Helsb wapate mkopo waje kuulipa baadae..
 
Kijana huyu mwenye amri mdogo ana akili iliyotulia kinoma, miaka ya hivi karibuni alifanya kazi katika Shirika la Twaweza akiwa kama Assistant data analyst alibahatika mwaka jana Mwanzoni kupata ajira nyingine huko ughaibuni - barani ulaya katika shirika kubwa la masuala ya utafiti ambapo ameitumikia kwa takribani mwaka 1. Na sasa miezi kadhaa iliyopita alifanya mtihani mgumu wa hesabu kujiunga na Chuo kikuu cha havard huko USA na alifauli kwa kupata asilimia 99 ya alama za mtihani huo. Serikali yetu inatakiwa kuwashika mkono vijana wa namna hii kwa kuwa ni hadhina nzuri kwa taifa.Kijana amesoma shule ya kata hajawahi kusoma ulaya ila kwa elimu yake aliyopata Tz anaitisha dunia na kuwazidi wazungu akili. All the best Claudio Mlamka.
Kiswahili SEMA; hazina sio hadhina. Duh!
 
Weka picha yake ikiambatana na picha ya mtihani tuone kama ni kweli.
 
kuna chalii alikuwa anaitwa Claudio msengezi, Milambo EGM dogo alikuwa hana makuu ila NECTA akapiga banda akawaacha wakali kama Chris Mzungu, Esau, na vichwa fulani hivi kule PCM
 
kuna chalii alikuwa anaitwa Claudio msengezi, Milambo EGM dogo alikuwa hana makuu ila NECTA akapiga banda akawaacha wakali kama Chris Mzungu, Esau, na vichwa fulani hivi kule PCM
Huyo Dogo ni WA moto sana kichwani Tangu O level.
 
Back
Top Bottom