Claudio-Kijana wa Kitanzania aliyepasua 99% mtihani wa Hesabu Havard

Claudio-Kijana wa Kitanzania aliyepasua 99% mtihani wa Hesabu Havard

Kijana huyu mwenye amri mdogo ana akili iliyotulia kinoma, miaka ya hivi karibuni alifanya kazi katika Shirika la Twaweza akiwa kama Assistant data analyst alibahatika mwaka jana Mwanzoni kupata ajira nyingine huko ughaibuni - barani ulaya katika shirika kubwa la masuala ya utafiti ambapo ameitumikia kwa takribani mwaka 1.

Na sasa miezi kadhaa iliyopita alifanya mtihani mgumu wa hesabu kujiunga na Chuo kikuu cha havard huko USA na alifauli kwa kupata asilimia 99 ya alama za mtihani huo. Serikali yetu inatakiwa kuwashika mkono vijana wa namna hii kwa kuwa ni hadhina nzuri kwa taifa.

Kijana amesoma shule ya kata hajawahi kusoma ulaya ila kwa elimu yake aliyopata Tz anaitisha dunia na kuwazidi wazungu akili.

All the best Claudio Mlamka.
Serikali yetu hainaga mpango na watu wa hivi.. !! Wewe angalia wale wa TANZANIA ONE waliko sasa
 
Kijana huyu mwenye amri mdogo ana akili iliyotulia kinoma, miaka ya hivi karibuni alifanya kazi katika Shirika la Twaweza akiwa kama Assistant data analyst alibahatika mwaka jana Mwanzoni kupata ajira nyingine huko ughaibuni - barani ulaya katika shirika kubwa la masuala ya utafiti ambapo ameitumikia kwa takribani mwaka 1.

Na sasa miezi kadhaa iliyopita alifanya mtihani mgumu wa hesabu kujiunga na Chuo kikuu cha havard huko USA na alifauli kwa kupata asilimia 99 ya alama za mtihani huo. Serikali yetu inatakiwa kuwashika mkono vijana wa namna hii kwa kuwa ni hadhina nzuri kwa taifa.

Kijana amesoma shule ya kata hajawahi kusoma ulaya ila kwa elimu yake aliyopata Tz anaitisha dunia na kuwazidi wazungu akili.

All the best Claudio Mlamka.
Chai
 
kuna chalii alikuwa anaitwa Claudio msengezi, Milambo EGM dogo alikuwa hana makuu ila NECTA akapiga banda akawaacha wakali kama Chris Mzungu, Esau, na vichwa fulani hivi kule PCM
Huyu dogo Yuko wapi,,,, nilipata taarifa zake toka kitambo na ni MTU wa Sumbawanga.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kufaulu Sana sio Sawa na kuwa creative....
Watu creative sometimes hawafaulu sana
 
Kufaul kwa ngazi ya juu sio kwamba una akili. Ila ni proof kuwa una bright memory..ubongo una perform vizur katika kuhifadh na ku retrieve. Akil ni uwezo wa kugeuza hayo uliohifadh kuyafanyia gunduzi mbali mbali. Na hapa ndio wazungu kuwakuta sio leo...
 
Back
Top Bottom