Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
Hii ilitokea baada ya mechi ya Mbeya city vs Yanga kumalizika juzi, ama kweli mazoea hujenga Tabia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini za Wageni, wakatuletea Dini wakatunyima technology. Mbwa wale, halafu wanatuahidi eti tuishi kimaskini then tutakuja kuishi kifalme somedays somewhere
Na mpira ndiyo umemuishia hivyoHuyo bwana mdogo ni msanii sana.
Naona leo una hasira sana mjombawangu.Dini za Wageni, wakatuletea Dini wakatunyima technology. Mbwa wale, halafu wanatuahidi eti tuishi kimaskini then tutakuja kuishi kifalme somedays somewhere
Hahahaha Niko Safarini UncleNaona leo una hasira sana mjombawangu.
Ebu amka ujiandae twende kanisani....😊
Nikutakie safari njema mjomba, na Mungu akutangulie ufike salama.Hahahaha Niko Safarini Uncle
Yule bwana mdogo naamini alibadili kwa shinikizo!Hii ilitokea baada ya mechi ya mbeya city vs yanga kumalizika juzi, ama kweli mazoea hujenga Tabia.
View attachment 2653372
Asikilize huu ushauri.Tatizo la dogo ni kukosa tu utulivu. Siku akifanikiwa kumiliki utulivu ndani na nje ya uwanja, basi atakuwa the best.
Alianza vizuri sijui nini kimemkutaTatizo la dogo ni kukosa tu utulivu. Siku akifanikiwa kumiliki utulivu ndani na nje ya uwanja, basi atakuwa the best.
Inawezekana umaarufu ndani ya muda mfupi, unataka kumpoteza.Alianza vizuri sijui nini kimemkuta
Muislam Rapa.Ikute alilipwa ili asilimu,ili iwe kiki na wengine wasilimu.Hii ilitokea baada ya mechi ya mbeya city vs yanga kumalizika juzi, ama kweli mazoea hujenga Tabia.
View attachment 2653372
Hawa watu ni wanyama. Hawakutunyima Teknolojia bali walitunyang'anya na waliua "our advanced technology". Viwanda vyetu vya uhunzi vilivunjwa na wahunzi kufungwa. Utaalam wowote wa kiasili waliuzuia wakidai ni "primitive" kumbe ni hofu ya hatari kuwashinda. Walizuia kumiliki vilivyo bora wakavichukua kwenda kwao wakatuletea vitu visivyo thamani wakituaminisha ndiyo bora. In short walitutengenezea dhania ya hovyo tuthamini vyao kuliko vyetu, mentality inayodumu hadi kizazi cha leo.Dini za Wageni, wakatuletea Dini wakatunyima technology. Mbwa wale, halafu wanatuahidi eti tuishi kimaskini then tutakuja kuishi kifalme somedays somewhere