Clement Mzize abadili dini lakini nimeshangaa kumuona akipiga ishara ya msalaba baada ya mechi kumalizika

Clement Mzize abadili dini lakini nimeshangaa kumuona akipiga ishara ya msalaba baada ya mechi kumalizika

Hawa watu ni wanyama. Hawakutunyima Teknolojia bali walitunyang'anya na waliua "our advanced technology". Viwanda vyetu vya uhunzi vilivunjwa na wahunzi kufungwa. Utaalam wowote wa kiasili waliuzuia wakidai ni "primitive" kumbe ni hofu ya hatari kuwashinda. Walizuia kumiliki vilivyo bora wakavichukua kwenda kwao wakatuletea vitu visivyo thamani wakituaminisha ndiyo bora. In short walitutengenezea dhania ya hovyo tuthamini vyao kuliko vyetu, mentality inayodumu hadi kizazi cha leo.
Hakika ndugu yangu, Leo hii tunabaguana Hadi kwenye mazishi kisa Huyu Mkristo na huyu Mwislam! Pumbavu kabisa! Huwa najiuliza, Ina maana Wachina, Wahindu, Wakorea na wengine hao wataenda wapi? Hivi wale wazee wetu walikufa kabla ya Ukristo na Uislam kuja wao wataenda wapi? Anyway tutende mema ndio Dini ya kweli, usidhulumu Wala usiibe. The rest ni ubatili
 
Dogo angajitambua kidogo angejifua sana na kuwa bonge la mchezaji mpira.
Ana umbo zuri sana la mchezampira.
Achukue huu ushauri wangu.
 
Atazoea tu na ataacha kazaliwa kwenye malezi hayo kujisahau inawezekana na ndo maana hata wewe pindi mwaka mmoja unapoisha na kuingia mwaka mwingine kwenye uandishi wa tarehe unaweza kujisahau ukaandika mwaka uliopita ila baadae unazoea na kuacha
Mtu akibadiri dini kwa ajili ya mwanamke hawezi kuwa kwenye hiyo dini.

Dini ni utumwa mambo leo tu.
 
Mtu akibadiri dini kwa ajili ya mwanamke hawezi kuwa kwenye hiyo dini.

Dini ni utumwa mambo leo tu.
umeshasema kabadili maana yake ameshatoka upande mmoja kwenda upande mwingine alafu unasema hawezi ? hivi ukisoma ulichoandika unakielewa kweli?
 
Hakika ndugu yangu, Leo hii tunabaguana Hadi kwenye mazishi kisa Huyu Mkristo na huyu Mwislam! Pumbavu kabisa! Huwa najiuliza, Ina maana Wachina, Wahindu, Wakorea na wengine hao wataenda wapi? Hivi wale wazee wetu walikufa kabla ya Ukristo na Uislam kuja wao wataenda wapi? Anyway tutende mema ndio Dini ya kweli, usidhulumu Wala usiibe. The rest ni ubatili
Akili nyingi mzee nakubali
 
Mkiambiwa kabadili kwa ajili ya toto la kitanga hamuelewi,mnahisi anaonewa?
 
Tunaweza kuwa tunamshangaa kubadili dini ukubwani ukakuta ni mjanja Sana kwa wale wanazotumia mabinti zao kueneza dini, kwamba anakuambia anakuoza kwa kigezo Cha kubadili dini.

Jamaa yangu aliwahi kuingia 18 za shombe la kiarabu. Wazazi wake wakamwbia hawataki kumuona na kafiri ila akibadili hawana shida. Jamaa alibadili dini baada ya mke kupata mimba akamwambia yeye ni mkatoliki na hilo haliwezi kubadilika, ilibidi mke amfuaye kanisani na ndugu walimtemga, ila baada ya kufanikiwa kimaisha walirudi kimya kimya
 
Back
Top Bottom