Acha uhuni kijana hii sio ile game juzi maana hao ni mbeya city sio timu ya magereza. Inawezekana kipindi hcho alikuwa bado hajabadili diniHii ilitokea baada ya mechi ya mbeya city vs yanga kumalizika juzi, ama kweli mazoea hujenga Tabia.
View attachment 2653372
Hio inaonkna ya juz kabla ya mbeya,Acha
Acha uhuni kijana hii sio ile game juzi maana hao ni mbeya city sio timu ya magereza. Inawezekana kipindi hcho alikuwa bado hajabadili dini
Ah basi bwana mdogo kuna shinikizoHio inaonkna ya juz kabla ya mbeya,
Hakika ndugu yangu, Leo hii tunabaguana Hadi kwenye mazishi kisa Huyu Mkristo na huyu Mwislam! Pumbavu kabisa! Huwa najiuliza, Ina maana Wachina, Wahindu, Wakorea na wengine hao wataenda wapi? Hivi wale wazee wetu walikufa kabla ya Ukristo na Uislam kuja wao wataenda wapi? Anyway tutende mema ndio Dini ya kweli, usidhulumu Wala usiibe. The rest ni ubatiliHawa watu ni wanyama. Hawakutunyima Teknolojia bali walitunyang'anya na waliua "our advanced technology". Viwanda vyetu vya uhunzi vilivunjwa na wahunzi kufungwa. Utaalam wowote wa kiasili waliuzuia wakidai ni "primitive" kumbe ni hofu ya hatari kuwashinda. Walizuia kumiliki vilivyo bora wakavichukua kwenda kwao wakatuletea vitu visivyo thamani wakituaminisha ndiyo bora. In short walitutengenezea dhania ya hovyo tuthamini vyao kuliko vyetu, mentality inayodumu hadi kizazi cha leo.
Mtu akibadiri dini kwa ajili ya mwanamke hawezi kuwa kwenye hiyo dini.Atazoea tu na ataacha kazaliwa kwenye malezi hayo kujisahau inawezekana na ndo maana hata wewe pindi mwaka mmoja unapoisha na kuingia mwaka mwingine kwenye uandishi wa tarehe unaweza kujisahau ukaandika mwaka uliopita ila baadae unazoea na kuacha
umeshasema kabadili maana yake ameshatoka upande mmoja kwenda upande mwingine alafu unasema hawezi ? hivi ukisoma ulichoandika unakielewa kweli?Mtu akibadiri dini kwa ajili ya mwanamke hawezi kuwa kwenye hiyo dini.
Dini ni utumwa mambo leo tu.
Akili nyingi mzee nakubaliHakika ndugu yangu, Leo hii tunabaguana Hadi kwenye mazishi kisa Huyu Mkristo na huyu Mwislam! Pumbavu kabisa! Huwa najiuliza, Ina maana Wachina, Wahindu, Wakorea na wengine hao wataenda wapi? Hivi wale wazee wetu walikufa kabla ya Ukristo na Uislam kuja wao wataenda wapi? Anyway tutende mema ndio Dini ya kweli, usidhulumu Wala usiibe. The rest ni ubatili
Kama demu tu kambadili msimamo huo utulivu atautoa wapi?Tatizo la dogo ni kukosa tu utulivu. Siku akifanikiwa kumiliki utulivu ndani na nje ya uwanja, basi atakuwa the best.
Muislam Rapa.Ikute alilipwa ili asilimu,ili iwe kiki na wengine wasilimu.
Hakuna mafundisho katika uislam ya kununua waumini...au kumlazimisha mtu kuwa muislam.Muislam Rapa.Ikute alilipwa ili asilimu,ili iwe kiki na wengine wasilimu.
Wapuuzi sana mabwana waleDini za Wageni, wakatuletea Dini wakatunyima technology. Mbwa wale, halafu wanatuahidi eti tuishi kimaskini then tutakuja kuishi kifalme somedays somewhere
Mapochopocho aliyokuwa anatoa gsm kipindi cha mfungo wa ramadhani dogo akaona asipitweYule bwana mdogo naamini alibadili kwa shinikizo!