Clement mzize, sio level ya kucheza yanga.

Ndio maana nikwakwambia hata wakina haaland wanakosa magoli ya wazi ...kufanya makosa uwanjani kwa mchezaji ni jambo ambalo haliepukiki
Haland hakosi kosi magoli kama mzize
Mzize ni fowadi ila anazidiwa na viungo magoli
 
kiingeraza cha hovyo
 
Yanga wasihangaike waende pale mashujaa wakambebe mwamba kabisa Adam Adam
 
I have being???? sasa kiingereza hujui mpira unaujulia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…