Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
An moyo wa hzo kaz..au..Nursing and Midwifery.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
An moyo wa hzo kaz..au..Nursing and Midwifery.
Na ujeda au upolisiSasa hivi kozi zote zimedoda kinacholipa kwa sasa ni udaktari bingwa
Kozi zipi za kutajirika? Zitaje![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwanini unampeleka mtoto wako wa kike kwenye kazi kama hizo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]. Kama anasura ngumu mpeleke ni sawa tu.
Ila mtoto wako kama unampenda mpeleke akasome kozi zinazoeleweka zinazoweza kuifanya hata familia yako kutajirika hapo baadaye akipata mchongo wa maana. Ni hayo tu.
Mimi nafuata nyayo za waisraeli tu.
Hakuna kazi ya kuajiriwa itakufanya uwe Tajiri![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwanini unampeleka mtoto wako wa kike kwenye kazi kama hizo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]. Kama anasura ngumu mpeleke ni sawa tu.
Ila mtoto wako kama unampenda mpeleke akasome kozi zinazoeleweka zinazoweza kuifanya hata familia yako kutajirika hapo baadaye akipata mchongo wa maana. Ni hayo tu.
Mimi nafuata nyayo za waisraeli tu.
Amekariri huyo!
Wanataka division fourNa ujeda au upolisi