Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo utube video ni uongo imekuwa-edited?Itafika hatua halaand mtasema ni bora kuliko Ronaldo phenomenon.
Iniesta ni kweli alikuwa mchezaji mzuri mnoo, ila zidane ni habari nyingine, achana na hizi youtube video
Nimewaona wote wakicheza, kwangu zidane ni bora zaidi.
Pale france watu waliomzunguka zidane na alichokifanya, sidhani kama iniesta angefanya, na pale spain waliomzunguka Iniesta na alichokifanya zidane angefanya mara 3 yake.
Zidane alikuwa main man wa timu, ndio boss haswa, sio viera, wala Thierry henry.. But Iniesta alikuwa muhimu lakini sio bosi haswa wa timu, spain haikujengwa kumzungula iniesta, ufaransa ilijengwa kumzunguka zidane.
Main man umewaona wakicheza against utacheka zidane anaanguka tu Kila akimkaba inestaItafika hatua halaand mtasema ni bora kuliko Ronaldo phenomenon.
Iniesta ni kweli alikuwa mchezaji mzuri mnoo, ila zidane ni habari nyingine, achana na hizi youtube .
Kama umewaangalia wote na uka conclude Zidane ni bora kuliko Iniesta bac you're very biased, hata ukiwauliza Madrid fans waliowaona wote kati ya Zidane na Modric nani bora watakwambia Modric ni bora, na hata huyo Modric mwenyew he is not even better than Iniesta.Itafika hatua halaand mtasema ni bora kuliko Ronaldo phenomenon.
Iniesta ni kweli alikuwa mchezaji mzuri mnoo, ila zidane ni habari nyingine, achana na hizi youtube video
Nimewaona wote wakicheza, kwangu zidane ni bora zaidi.
Pale france watu waliomzunguka zidane na alichokifanya, sidhani kama iniesta angefanya, na pale spain waliomzunguka Iniesta na alichokifanya zidane angefanya mara 3 yake.
Zidane alikuwa main man wa timu, ndio boss haswa, sio viera, wala Thierry henry.. But Iniesta alikuwa muhimu lakini sio bosi haswa wa timu, spain haikujengwa kumzungula iniesta, ufaransa ilijengwa kumzunguka zidane.
Iniesta ni habari nyingine hapa naongelea ufundi sio umaarufu, Inawezekana Zidane akawa maarufu kuliko Iniesta ila Kwa upande wangu Iniesta ni bora kuliko Zidane.Kama umewaangalia wote na uka conclude Zidane ni bora kuliko Iniesta bac you're very biased, hata ukiwauliza Madrid fans waliowaona wote kati ya Zidane na Modric nani bora watakwambia Modric ni bora, na hata huyo Modric mwenyew he is not even better than Iniesta.
Ntaendelea kusema pia in my opinion namuona zidane yuko below Kevin De Bryune.
Kuna kasumba flani watu tunayo ya ku-praise sana vitu vya thamani au qualities za watu wa zamani.
Iniesta ndo the most technical player of all time.Iniesta ni habari nyingine hapa naongelea ufundi sio umaarufu, Inawezekana Zidane akawa maarufu kuliko Iniesta ila Kwa upande wangu Iniesta ni bora kuliko Zidane.
Iniesta akiwa anatembea na mpira unaona kabisa mpira uko na fundi mkuu.