Clip ya YouTube Iniesta vs Zidane head to head wazee Zidane aliteswa sana

Clip ya YouTube Iniesta vs Zidane head to head wazee Zidane aliteswa sana

Ferguson ni shabiki tu anayeendeshwa na kumpenda mchezaji, sikuzote alikuwa anasema Ronaldo ni zaidi ya Messi ila dunia inajua balaa la Messi

Kwahiyo wewe unajua zaidi ya Fergie?

Leta list inayomrank Iniesta hata top 10 ya goats. Nadhani unajua Zizu yupo kwenye kila list.
 
Nimeangalia clip Hadi nmeshangaa zidane anagaragazwa kama mtoto na inesta sasa izo sifa mnazompaga ZIDANE Huwa zinatoka wapi?

Sio Kila Cha kale ni dhahabu
Angalia mechi yote mkuu! YouTube wana post baadhi tu.
Labada useme umechelewa kufatilia mpira. Umefatilia 2010 kombe la dunia ndo maana una msifia sana Iniesta
 
Mzee mbona unakuwa kama vile hujawahi kuchangia kweny mijadiliano ya mpira, hoja yako au yangu kupondwa ni jambo la kawaida sana kweny uchambuzi wa soka.

Sababu zako hazi make sense kwasababu huwez sema scenario ulizoona zidane anatoboa iniesta hawez kutoboa, inaonekana hujamwangalia iniesta akicheza au uko biased, Messi mwenyew ana respect kubwa sana na uwezo wa kimpira wa Iniesta, sometime hadi alisemaga iniesta yuko more technical than him, zidane yupo poa sana ila hajamzidi Iniesta kitu chochote, sio creativity, sio passing, sio dribbling.

Na watu wengi hawajui, prime ya zidane haikuwa alivokuwa anacheza Madrid bali alivokuwa anacheza Juventus, ila watu utawakuta wana praise version ya Zidane ya madrid.

Messi ni bora kuliko Maradona, Maradona ana creativity kubwa sana but wote tunajua defence za zamani zilikuwa shit, ugumu wa kupitisha through pass miaka ya 80s na kupitisha through pass 2010s au 2020s haufanani, today football is very advanced and defenders are trained very strategic kuzuia pass kupita kizembe.

makaveli10
Acha uongo, Zidane ali-peak akiwa Madrid.
 
Iniesta Ni wizard alijificha kwenye soka
 
Back
Top Bottom