Clip ya YouTube Iniesta vs Zidane head to head wazee Zidane aliteswa sana

Clip ya YouTube Iniesta vs Zidane head to head wazee Zidane aliteswa sana

Nimeangalia clip Hadi nmeshangaa zidane anagaragazwa kama mtoto na inesta sasa izo sifa mnazompaga ZIDANE Huwa zinatoka wapi?

Sio Kila Cha kale ni dhahabu
Head to head ina maana walicheza wao peke yao? Halafu unafananishaje Zidane ambaye alikuwa anamalizia mpira wake na Iniesta ambaye ndio alikuwa anang'ara?
 
Kama umewaangalia wote na uka conclude Zidane ni bora kuliko Iniesta bac you're very biased, hata ukiwauliza Madrid fans waliowaona wote kati ya Zidane na Modric nani bora watakwambia Modric ni bora, na hata huyo Modric mwenyew he is not even better than Iniesta.

Ntaendelea kusema pia in my opinion namuona zidane yuko below Kevin De Bryune.

Kuna kasumba flani watu tunayo ya ku-praise sana vitu vya thamani au qualities za watu wa zamani.
Mnapenda mitazamo yenu kuwa kwa wote,
Nishaeleza na sababu zangu.

Ukisema hivyo unakosea, mbona mie nakubali messi ni bora kuliko maradona!?
 
Nimeangalia clip Hadi nmeshangaa zidane anagaragazwa kama mtoto na inesta sasa izo sifa mnazompaga ZIDANE Huwa zinatoka wapi?

Sio Kila Cha kale ni dhahabu
Nasema hivi zaodane hafiki kwa INIESTA hata nusu.
 
Mnapenda mitazamo yenu kuwa kwa wote,
Nishaeleza na sababu zangu.

Ukisema hivyo unakosea, mbona mie nakubali messi ni bora kuliko maradona!?
Mzee mbona unakuwa kama vile hujawahi kuchangia kweny mijadiliano ya mpira, hoja yako au yangu kupondwa ni jambo la kawaida sana kweny uchambuzi wa soka.

Sababu zako hazi make sense kwasababu huwez sema scenario ulizoona zidane anatoboa iniesta hawez kutoboa, inaonekana hujamwangalia iniesta akicheza au uko biased, Messi mwenyew ana respect kubwa sana na uwezo wa kimpira wa Iniesta, sometime hadi alisemaga iniesta yuko more technical than him, zidane yupo poa sana ila hajamzidi Iniesta kitu chochote, sio creativity, sio passing, sio dribbling.

Na watu wengi hawajui, prime ya zidane haikuwa alivokuwa anacheza Madrid bali alivokuwa anacheza Juventus, ila watu utawakuta wana praise version ya Zidane ya madrid.

Messi ni bora kuliko Maradona, Maradona ana creativity kubwa sana but wote tunajua defence za zamani zilikuwa shit, ugumu wa kupitisha through pass miaka ya 80s na kupitisha through pass 2010s au 2020s haufanani, today football is very advanced and defenders are trained very strategic kuzuia pass kupita kizembe.

makaveli10
 
Mzee mbona unakuwa kama vile hujawahi kuchangia kweny mijadiliano ya mpira, hoja yako au yangu kupondwa ni jambo la kawaida sana kweny uchambuzi wa soka.

Sababu zako hazi make sense kwasababu huwez sema scenario ulizoona zidane anatoboa iniesta hawez kutoboa, inaonekana hujamwangalia iniesta akicheza au uko biased, Messi mwenyew ana respect kubwa sana na uwezo wa kimpira wa Iniesta, sometime hadi alisemaga iniesta yuko more technical than him, zidane yupo poa sana ila hajamzidi Iniesta kitu chochote, sio creativity, sio passing, sio dribbling.

Na watu wengi hawajui, prime ya zidane haikuwa alivokuwa anacheza Madrid bali alivokuwa anacheza Juventus, ila watu utawakuta wana praise version ya Zidane ya madrid.

Messi ni bora kuliko Maradona, Maradona ana creativity kubwa sana but wote tunajua defence za zamani zilikuwa shit, ugumu wa kupitisha through pass miaka ya 80s na kupitisha through pass 2010s au 2020s haufanani, today football is very advanced and defenders are trained very strategic kuzuia pass kupita kizembe.

makaveli10
Hapo sasa unanifokea na unanilazimisha 🤣😂
 
Nilikuuliza kwenye uzi mwingine umeanza lini kuangalia mpira this thread answers that qn. Kama Iniesta na Zizu unawajua kwa clips I rest my case. Bado una safari ndefu.

Sir Alex Ferguson once said, "Give me 10 planks of wood, and Zidane and I will win the Champions League"
 
Sisi Mashabiki wa France ukiwa unasema hayo maneno aisee tunaona Kama umeamua kututukana!! Huwa naheshimu mtazamo wa kila raia... Mzee Kuna Mambo mengi kweny soka ya kuzungumzia tafuta content tuzijadili sio hiii issue!!

Wakenya wakiona hii watazidi kutuzarau aisee! Heshimu Football kaka.

Halafu usiangalie clip, angalia Mechi nzima acha uvivu

Kaangalie world 1998 YouTube ipo
 
You can't praise your enemy.
Huwez msifia mtu aliyekudhalilisha.

Niambie who ranks Iniesta as an all-time best player? Kwenye ranks za experts wengi Zizu yupo top 3. Sio top 5 au 10. Top 3. Google any list leta inayosema Iniesta is a top 10 player. Iniesta was great but is Z is on a different level.
 
Nilikuuliza kwenye uzi mwingine umeanza lini kuangalia mpira this thread answers that qn. Kama Iniesta na Zizu unawajua kwa clips I rest my case. Bado una safari ndefu.

Sir Alex Ferguson once said, "Give me 10 planks of wood, and Zidane and I will win the Champions League"
Huyu aliyesema hivi ni Ferguson ambae amewaona wote Iniesta na Zidane.

Kiufupi Zidane ni James Bond, Iniesta ni Inspekta Seba.
 
Kama unaamini hivyo mbona umetuuliza..
Umekuja na jibu mojakwa 1..unataka tujadili nini
 
Iniesta ni habari nyingine yule alikuwa fundi wa mpira.

Bahati mbaya alicheza mpira kipindi cha Messi na Ronaldo macho yote duniani yalikuwa kwa hao jamaa wawili

Messi na Ronaldo walificha vipaji vingi sana visizungumzwe enzi za ubora wao
 
Huyu aliyesema hivi ni Ferguson ambae amewaona wote Iniesta na Zidane.

Kiufupi Zidane ni James Bond, Iniesta ni Inspekta Seba.
Ferguson ni shabiki tu anayeendeshwa na kumpenda mchezaji, sikuzote alikuwa anasema Ronaldo ni zaidi ya Messi ila dunia inajua balaa la Messi
 
Back
Top Bottom