Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Wakuu, hawa jamaa wamekazana kutulisha uongo kuwa ligi bora duniani eti ni EPL.
Vigezo vingi tu vya uhalisia dhidi ya uongo wa Clouds, nakumbuka hata aliyekuwa rais wa FIFA SB alitamka wazi kuwa ligi bora Duniani ni La Liga.
Tuwe tunaangalia kile mguu unatoa na si kile mdomo unatoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo vingi tu vya uhalisia dhidi ya uongo wa Clouds, nakumbuka hata aliyekuwa rais wa FIFA SB alitamka wazi kuwa ligi bora Duniani ni La Liga.
Tuwe tunaangalia kile mguu unatoa na si kile mdomo unatoa.
Sent using Jamii Forums mobile app