Clouds FM acheni kutulazimisha kuwa ligi bora duniani ni EPL!

Clouds FM acheni kutulazimisha kuwa ligi bora duniani ni EPL!

Kwa nini wasiongelee kwa mda mwingi EPL wakati ndo ligi inayoshabikiwa na watu wengi hapa nyumbani?
Mkuu, hawa hata kabla ya SB kuondolewa madarakani wimbo wao ni huohuo siku zote. Sikiliza vipindi vyao vya michezo wakati wa majadiliano watajikita muda mwingi kuelezea habari za timu za EPL kuliko hata timu za Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom