CLOUDS FM acheni uongo

CLOUDS FM acheni uongo

balibabambonahi

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
15,771
Reaction score
14,294
Muda huu mnadai mechi ya RS BERKANE na USMA iko dakika ya 35 na bado iko 0-0 wakati haijachezwa na timu zimeondoka uwanjani.Hivi mko makini kweli!
 
😂😂 Labla wameiona siku ya mechi itakavyokuwa
 
Muda huu mnadai mechi ya RS BERKANE na USMA iko dakika ya 35 na bado iko 0-0 wakati haijachezwa na timu zimeondoka uwanjani.Hivi mko makini kweli!
Wachambuzi wote pale clouds ni walozi, inawezekana wanaangalia mechi ya kuzimu!
 
Clouds ilikwisha alipofariki Ruge.
Kilichopo ni "chombo cha mipasho".
 
Back
Top Bottom