Clouds fm haijatajwa msiba wa Albert Mangwea

Clouds fm haijatajwa msiba wa Albert Mangwea

Yani hao clouds ni wanajikosha tu,. I wish millard ayo ahamie earadio Maana hapamfai,. Kijana yuko vizuriiiii,. Ila mabosi wao ndo *%$#@!&,. Na ctakaa niwasapot,. Samahani lkn
 
Wewe nani anakupenda..........na avatar yako ya kuazima....

nin sasa iki unaandika hapa??apo ndipo kiwango chako chakufikiri kimegota jipange punda!
 
Ki ukwel c ipend clouds lakini walitajwa zaid ya mara 3 labda maskio yko yalikua na matege
 
Wewe unatumia ile njia kwamba ''UKITAKA KUMUUA MBWA BASI MPE JINA BAYA''...
Huyu atamuwekea sumu, yule atampiga jiwe akimuona, wale watamfukuza na kumrushia magongo wakimuona''...

Acha kuwa zezeta Januari to Disemba

wewe una2mia njia ya kuamsha m2 usingizini afu unampa dawa ya usingizi, jipange usiwe kilaza cku zote 364 za mwaka.
 
Kaka kama wametaja basi Poa tu,. Lkn haibadilishi ukwe.. wanyonyaji
 
Mi sikusikiliza ila naamini hao kwa asilimia 99 watakuwa hawakuitaja,. Na aliyewataja &%$#@#&
 
we acha 2, majani ndio mwisho wao wa reli..ulishajiuliza akikataa kabisa wimbo wowote wa bngo flev uliorekodiwa bongo rec. Ucpigwe itakuaje?
kama majani kaangaika sana na gwair(rip)...jamaa anasema walikua wanarekod mpaka usiku..alafu clouds wanamfanyisha show bure...mimi nashangaa watu wanaowashabikia hawajui wanavyo wazulumu na kuwanyanyasa wasanii...
 
Wataitaja baada ya kuweka mwili Moro.
 
hopeless bibi yako!! tatizo unaendeshwa kwa hisia za chuki tu mi sina shida ya kuwatetea clouds ila nina uhakika na nnachokisema sasa km unajiskia hamu ya kubisha we bisha tu!!

hapa ha2bishana 2naongea logic! Mimi nimetaja chanzo changu na wewe taja nan aliwataja?
 
kama majani kaangaika sana na gwair(rip)...jamaa anasema walikua wanarekod mpaka usiku..alafu clouds wanamfanyisha show bure...mimi nashangaa watu wanaowashabikia hawajui wanavyo wazulumu na kuwanyanyasa wasanii...

dah inasikitisha kuna link yoyote ambayo naweza kusikia aya malalamiko fresh?
 
Kabla ya kwenda mbele naomba kujua kama wewe ni mtoto wa kiume au wa kike

dume beberu haswaa!na wewe mwenzangu mbona unaandika pumba kama hizi wew ni jinsia gan?
 
kama ulikuepo kwenye viwanja vya leaders au ulikua ukiona kupitia eatv, kuanzia kwa adam juma mpaka kwa msemaji wa familia walitaja redio na stations mbali mbali wakizishukuru, lakina cha ajabu hawakuitaja clouds fm kwa kusaidia kuripoti habari za msiba wa ngwea kutoka moja kwa moja johanesburg na kuhusisha vipindi vyake karibia vyote na habari za ngwea! My take#p.funk majani ni kweli alisema ukweli na inaonekana hata familia ya ngwea ilichukia kuhusu clouds fm na madai yaliyo tolewa na majani, na ndio maana hata msemaji wa familia akuishukuru clouds fm.

Jamani,jamani.mbona upuuz,umbea na ushakunaku.! Mmeacha msiba wa Ngwea,mnafuatilia nani hajatajwa.! Mbona we ulikuwepo na hujatajwa.!
 
Jamani,jamani.mbona upuuz,umbea na ushakunaku.! Mmeacha msiba wa Ngwea,mnafuatilia nani hajatajwa.! Mbona we ulikuwepo na hujatajwa.!

we ulitajwa?? Mbona akili yako aiko bomba et dibomba!
 
Ndio maana AFrika maradhi na vifo kila siku vinaongezeka!! Hivi wewe raia wa kawaida ambae hujawahi kupeleka tangazo redioni hata siku moja halafu unaichukia Clouds, unazani unawapunguzia nini kama sio kujitia stress zisizo na msingi?! Najua kuna wengine watasema hiyo Clouds ipo juu kwa ajili ya wasikilizaji, but whether you like or not, Clouds inachukiwa na wana-JF pekee ambao wengi wao ni wale wanaotaka kuchanganya siasa na burudani!!! Pamoja na some JF members, wengine wanaoichukia Clouds ni wasanii waliochuja ambao kila wanapochuja lawama wanazipeleka kwa Clouds!! Kutokana na upuuzi wao, hawaamini kwamba watasikika hadi nyimbo zao zipigwe Clouds!!! Yaani wasanii wa kibongo wapo tayari nyimbo zao zisipigwe radio zote lakini zipigwe Clouds, na zisipopigwa huko, NONGWA!
 
kama majani kaangaika sana na gwair(rip)...jamaa anasema walikua wanarekod mpaka usiku..alafu clouds wanamfanyisha show bure...mimi nashangaa watu wanaowashabikia hawajui wanavyo wazulumu na kuwanyanyasa wasanii...

1. Kwani alikuwa analazimishwa hizo show? By the way, kwanini akubali kufanya bure?
2. Clouds wanafanya show ngapi kwa mwaka mbali na Fiesta? Ina maana msanii anaweza ku-lost kwa kukosa show ya Fiesta pekee?
 
Ndio maana AFrika maradhi na vifo kila siku vinaongezeka!! Hivi wewe raia wa kawaida ambae hujawahi kupeleka tangazo redioni hata siku moja halafu unaichukia Clouds, unazani unawapunguzia nini kama sio kujitia stress zisizo na msingi?! Najua kuna wengine watasema hiyo Clouds ipo juu kwa ajili ya wasikilizaji, but whether you like or not, Clouds inachukiwa na wana-JF pekee ambao wengi wao ni wale wanaotaka kuchanganya siasa na burudani!!! Pamoja na some JF members, wengine wanaoichukia Clouds ni wasanii waliochuja ambao kila wanapochuja lawama wanazipeleka kwa Clouds!! Kutokana na upuuzi wao, hawaamini kwamba watasikika hadi nyimbo zao zipigwe Clouds!!! Yaani wasanii wa kibongo wapo tayari nyimbo zao zisipigwe radio zote lakini zipigwe Clouds, na zisipopigwa huko, NONGWA!

Rubbish and non sense
 
Back
Top Bottom