Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Hapa jibu analo GENTAMYCINEBora wangewatumbua hawa kuliko hando na PJ,jamaa wana vipaji na wamenifanya niwe nasikiliza clouds asubuhi kila siku nikiwa naenda kazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa jibu analo GENTAMYCINEBora wangewatumbua hawa kuliko hando na PJ,jamaa wana vipaji na wamenifanya niwe nasikiliza clouds asubuhi kila siku nikiwa naenda kazini.
Duh! Hii kaliHuyo Fredwaa huwa anaanza sentensi alafu kabla hajaimaliza anasahau alivyoianza.
Wanakuja na kipindi kipya 3600 sijui ni idai,takwim au beiKwa sasa habari ya mjini ni efm inapendwa sana mtaani ata sielewi kwa nn .
Fredwaa alipoteza netwek alipohama mwanza na kwenda. TIMES FM HAD hapo alipoPB bila Gerard Hando na PJ sijui kama ntakisikilza tena,hawa majamaa walikua wanapamba kipindi na kuanzisha mada motomoto na PJ alkua anajua jins ya kuchambua magazet vizur
Siku hz Fredwaa anasoma kama hadithi tu ilimradi amalize kusoma.
Yaani hadi leo bado Fredwaa hajapata kipindi clouds ila amejiattach tu,kwa walomjulia RFA nadhan wananielewa,vinginevyo kiundwe au kianzishwe kipindi kingine atakachokimudu si vya sasa.Fredwaa amekua incompetent hapo anapofanyia sasaTuko pamoja mkuu, hebu wampeleke Jahazi labda au powerbreakfast on Saturday, by the way kwa nilivyomsikiliza ruge leo, sioni kama PJ & GH, AO watarudi, na sijui ni nani kati ya hao alihamasisha watu watu wasihudhurie event ya malkia wa nguvu
Madai haya ndio hayohayo yalisemwa chini chini juu ya kuondoka kwa MASOUD WA KPHii habari ni upotoshaji. PJ na Hando hawajatemwa ila wamekataa wenyewe kusaini upya mikataba ya ajira sababu wanapunjwa mno mgawo kwa hela wanayoingiza kwenye matangazo.
wewe ungekuwa mzima wala usingeingia humu kudiscuss redio ya vichaa...Kwa hiyo huamini kama hao walioondoka waliondoka na watu?clouds wasikilizaji wake ni vichaa tupu.
sipo clouds mkuuUko clouds nini?
Neno mkuuOnyo kwa Watangazaji,mnapokuwa na ajira kituo X basi msipende kutoa maneno ya kashfa kituo Y,vituo hivyo sio vyenu kuna leo na kesho.
Aione inayomhusu
ExactlyYaani hadi leo bado Fredwaa hajapata kipindi clouds ila amejiattach tu,kwa walomjulia RFA nadhan wananielewa,vinginevyo kiundwe au kianzishwe kipindi kingine atakachokimudu si vya sasa.Fredwaa amekua incompetent hapo anapofanyia sasa
Hii double entry inawezekana kwa account ya bank bt kwa account ya kawaida ni completely reversal of entries. Trial balance itagomaDr. Clouds fm
Cr. Efm
Ni kweli mkuu, stress za kodi ya nyumba hizi zinasumbua sanaHii double entry inawezekana kwa account ya bank bt kwa account ya kawaida ni completely reversal of entries. Trial balance itagoma
Tehtehteh sijui we umekula maharage ya wapi? hv gharama za kuanzisha kituo cha radio unazijua au unafikiri ni matako kila mtu awe nayo???..Gerald hando unayo experience kubwa / katika entertainment ni wakati wako sasa wa kupalani ni jinsi gani UTAANZISHA RADIO YAKO.
wish you well.
never minds.
Umetumia kipimo kipi kuona hata weza!?Tehtehteh sijui we umekula maharage ya wapi? hv gharama za kuanzisha kituo cha radio unazijua au unafikiri ni matako kila mtu awe nayo???..
we umetumia kipomo gani kuona anaweza? hv gharama za kumiliki kituo unazijua? ingekua rahisi hata akina millard Ayo wangeshadungua vituo vyao...Umetumia kipimo kipi kuona hata weza!?
Usiusemee moyo wa mwenzako... Akuna kisicho wezekana chini ya jua.. Hao waloanzisha wameanzaje...we umetumia kipomo gani kuona anaweza? hv gharama za kumiliki kituo unazijua? ingekua rahisi hata akina millard Ayo wangeshadungua vituo vyao...
....endelea kuota hivyohivyoUsiusemee moyo wa mwenzako... Akuna kisicho wezekana chini ya jua.. Hao waloanzisha wameanzaje...