Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

Unataka Aseme Kuwa Kawafukuza Ili Ikitokea Siku Anawahitaji Warudi Zoezi Hilo Kwake Liwe Gumu? Ruge Alichokifanya Ni Diplomasia Tu Ila Kama Ulimwangalia Leo Utaona Kabisa Body Language Na Maneno Yake Yalikuwa Yanaashiria Kuwa Akina Hando Na PJ Hawana Tena Chao Hapo Na Kwa Za Chini Chini Ni Kwamba Hata Kama Mikataba Yao Inamalizika Rasmi Leo Lakini Inakuwaje Aliweke Hili Suala Wazi Kiasi Hiki? Mbona Hatuambii Ukomo Wa MKATABA Wa Zamaradi Mketema Na Wengineo Hapo Clouds Media Group Unafikia Lini? Ukweli Ni Kwamba Hawa Jamaa Hando Na PJ Walishaingia Makubaliano Siku Nyingi Sana Na E FM Huku Wakifanya SIRI Na Ni Umbea Wao Ndiyo Uliwaponza Kwani Kuna Mmoja Wao Alikuwa Na Demu Wake Wa Hapo Clouds Akaropoka Na Huyo Demu Nae Akaanza Kueneza Na Zikamfikia PILATO Ruge Mutahaba Ambaye Nae Pia Ni Mtoto Wa Mjini Vile Vile Na Akaamua KUWACHINJIA Baharini Kama Alivyofanya Huku Akiwa Tayari Alishawaandaa Vijana Kama Watatu ( 3 ) Ambao Inasemekana Kesho au Jumatatu Ijayo Wanaanza Kupiga Mzigo.
Nadhan ndo hiko kipindi cha 3600
 
Dah power breakfast kwisha habari yake pj na hando ndio kila kitu pale.
 
Kwa msioijua PB ya kipanya na Fina, ndio ulikuwa mwisho wangu wa kipindi cha PB

BADO SIJAPATA MTANGAZAJI KAMA fINA NA mASOUD kIPANYA

HANDO ALIKUWA mamluki tu...kuna wengine wengi wa kufukuzwa clouds, na wamezea mate, wanaiona clouds kama baba yao na mama yao, mmoja wao ni mshamba mmoja alikuwaga mwigizaji
 
Baada yake kuna nani alikuja na bado kile kipindi kipo?aliondoka na ubunifu wake!
Africa bambata ilifutwa mda africa bambata ndo kuna amplifier inayosimamiwa na mtu wa nguvu millard ayo, sophia kessy aliokuwa anatagaza africa bambata yupo clouds tv, dj to short cjui yupo wapi na dj bulla alikuwepo clouds cjajua km hadi sasa ivi yupo
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Naona hii habari ni kweli. Nawasikia KP na Fina kwenye Power Breakfast.
 
Naona mkubwa kala matapishi yake kulaleki keshokutwa missanya bingi ndani ya PB
 
Sipendi Tabia ya Clouds FM kutafuta kiki kindezi,hizi Habari za clouds kufukuza watangazaji wake si mara ya kwanza kusikika ilishawahi vumisha mchomvu,b12 wapigwa chini ila mwishowe ikawa chai.
 
Leo tumeweza kupata ladha ya zamani tuliyoikosa kwa muda mrefu. Fina Mango the best presenter ever!
 
Ni April fools. Binafsi nadhani JF haikupaswa kuwa na mzaha wa hiyo siku. Italeta contradictions humu.
 
Back
Top Bottom