Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vyema kuweka akiba ya maneno hapa Tarehe Moja usijekosa pakujifichaWeee wacha kutafuta kiki unaandika kama nani? we ni ruge ama nenee. Wawaache redio nyingine ziwachukue wote wapo vizuri sana.
nijifiche kwasababu ya nini mimi clouds wafukuze wala waisfukuze siwezi kupata madhara yoyote......Ni vyema kuweka akiba ya maneno hapa Tarehe Moja usijekosa pakujificha
Sio yeye, ni watu wawili tofauti.. Huyu fredwaa alikuwa radio free africa.. Tena kule rfa alipapatia sana. Ila huku clouds hakuna kituHivi fredwaa ndo fredy macha wa makala ya salamu kutoka London kwenye gazeti la mwananchi?
Mbona kama mihemko imekupanda, umelala njaa?nijifiche kwasababu ya nini mimi clouds wafukuze wala waisfukuze siwezi kupata madhara yoyote......
kisha pia sio lazima kukubali unachekisema kwavile umesema
'halafu pia hao uliowataja wapo kimkataba hata wakiondoka wataenda sehemu nyingine clouds sio kwa baba yao kwahiyo tuliza mihemko hao wana ujuzi zao na watapata kazi nyingine so is not a big deal..........
Kumbe sijaona mimi tu?Kama binadamu.. Wanaweza kukosea... Lkn kuwatoa Hando na PJ ....mmmmmh!!!! Watakua hawajui watendalo. Hivi Yale magazet yatasomeka kweli!?! Fredwaa na mizaa atasikilizwa na nani?! Mfano uchambuzi wa leo ..
hahahaha si wa kulala njaa mie....Mbona kama mihemko imekupanda, umelala njaa?
Basi huyo wa RFA ndo nikajua ni huyo wa kalamu kutoka London.Sio yeye, ni watu wawili tofauti.. Huyu fredwaa alikuwa radio free africa.. Tena kule rfa alipapatia sana. Ila huku clouds hakuna kitu
Sasa kwanini unapaniki maana unaona kama haiwezekani vile kama wametimuliwa watimuliwe tuhahahaha si wa kulala njaa mie....
boss unaongea as if ni jambo la kufa, mtu akiacha kazi sehemu moja kwenda kwingine ... kawaida sana hiyo ni biashara tu kufanya mabadiliko kawaida tuliza munkari
sipanic mie kwa vitu viso faida wewe unajua maana halisi ya kupanic ?Sasa kwanini unapaniki maana unaona kama haiwezekani vile kama wametimuliwa watimuliwe tu
Tabasamu la chini au juusipanic mie kwa vitu viso faida wewe unajua maana halisi ya kupanic ?
hebu nielekeze maana hapa natabasamu paana sana
kwenye kinenaTabasamu la chini au juu
Huyu zamaradi si ndo seceond boss wao atatumbuliwaje?Vipi zamalad na diva watatumbuliwa nao?
Huo u-boss aliupataje? Na diva je ni boss wa ngapi?Huyu zamaradi si ndo seceond boss wao atatumbuliwaje?
Naona kama Fredwaa amepotea njia kabisa, hata haieleweki anafanya nini Clouds, amekuwa sio yule wa Radio Free. Amepwaya sana, na inaonekana anashidwa kurandana na mawazo ya wenzie au yuko tofauti na falsafa za Clouds, yupo yupo tuu!Sio yeye, ni watu wawili tofauti.. Huyu fredwaa alikuwa radio free africa.. Tena kule rfa alipapatia sana. Ila huku clouds hakuna kitu
Kwani hujui zamaradi na Ruge wakoje? Muulize Dina Marios atakuambia Zamaradi kawa boss lini. Sijaongea kuhusu Diva.Huo u-boss aliupataje? Na diva je ni boss wa ngapi?
Hando hasomi magazeti wewe,magazeti yanasomwa na PJ.Ila hando akitoka sjui yale magazeti atayasoma nani, maana jamaa huwa anayasoma kwa ustadi sana
Seriously clouds Hamna kitu! Me niliacha kusikiliza officially 2010! Huwezi kuamini lakini ukweli Ndio huo! Tatizo wanajiona wajuaji sana! Clouds tv Ndio sijawahi Kabisa kuangalia! Hata sijui logo Yao inafafanaje labda Kama ndo Ile ya kwenye microphone zao hua naiona kupitia kituo kingine wanapofanya mahojiano Na mtu waandishi wengi wakiwepo including hao clouds!Kwenye Jamii "nyumbu" hawakosekani