hakuna tatizo kwa kuwa hawajavunja sheria! Ndugu, jitahidi kuacha kuisikiliza hiyo radio, hautapoteza chochote! mbona mimi siisikilizi na maisha yanasonga tu?!
ringtone ya kazi gani wakati tayari simu inajitosheleza na ikiita nasikia,hao wengine ni wanafika kama hao unaowatetea,omba nyimbo hizo uone kama hata sms yako itasomwa?