CLOUDS FM, Ushauri huu msiuache!

Bado kuna watu wanasikiliza radio? Na kujua ratiba za vipindi kabisa sio ,,,, ! Dah !

TV yenyewe naangalia mpira tu basi hakuna kingine !!!!
 
1 Wakorintho 6:19
Je, hamjui ya kwamba miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu akaaye ndani yenu, ambaye mmepewa na Mungu? Ninyi si mali yenu wenyewe.

Nadhani alijaribu kuandaa ibada ya hizo nyimbo za kumtukuza mungu kwa ukuu wa Mungu. Nasio kujiandaa kiroho tu..TUE NA HESHIMA KWENYE MAVAZI KWENYE JAMBO LINALO MHUSISHA MUNGU.
 
Suddy brown mjinga Sana. Anaaanza kuongelea mambo ya kupiga puri. Ndio maana Makonda alimpiga.
 
Narudia Tena, Suddy Brown ni mjinga. Eti kwa hivyo unajichukulia sheria mkononi? Jamaa jinga Sana. Makonda alitakiwa kulishughulikia ipasavyo ili liwe na heshima. Very stupid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…