CLOUDS FM, Ushauri huu msiuache!

CLOUDS FM, Ushauri huu msiuache!

Wenye elimu ya uandishi wapo mtaa wanaendesha boda ..wajanjaa wamepenya wapo Kwenye radio
 
Mangi acha ushamba, unataka watu waende mlimani city na madera.
Unajua Waislamu ndio wengi watako hudhuria?
Unajua kuna wasabato?
Unajua kunawanaume walio okoka wanawatoa girl frinds zao out kwenye tamasha?
Unajua kuna wasio na dini wengi tu wataenda kutazama na kumsifu Yesu?

Wewe unakuwa kama FARISAYO NA SADUKAYO, kwamba ni mtu wa mwilini na torati na kwako nguo ndio zinapeleka mtu mbinguni! badilika
Macho ya rohoni,
 
Sisi ambao hatuja okoka , tunatumia mach ya mwilini, tyunaenda na mini skirts zetu na track suits, mnawasemaga walokole wanava kishamba, wakivaa vizuri hamtaki, sasa semeni moja atujue!
Muonekano si mavazi tu Bw. Jaji
 
Mwanamuzi, muimbaji na mtunzi wa nyimbo za injili Israel Mboni ametua Tanzania kufanya tamasha Mlimani City na Leaders Club.

Katika interview pale Clouds muwe mnaweka, kama ni mtu wa injili basi wale watu wa gospel, wenye uelewa wa injili na kufuatilia na ikibidi wekeni mlokole.

Sasa Sudi Brown ni "mataifa' "kafiri"na hamjui Mungu alafu anawekwa kumuuliza mtu aliyeokoka, kajikuta anauliza maswali ya ngono ambayo ndio wamezoea kuuliza wasanii.

Clip ya mahojiano hayo nimeona aibu kuipost hapa maana hata waandishi wengine watajisikia vibaya.

Kwa ujumla, mwandishi huwezi kuwa mbobezi wa kila kitu, ni sawa ni kibatala leo u mlete afanye ishu za corporate, hatoweza.

Ajiri watu wenye profession zao hata kwa mkataba wa kazi maalum.
Sitoshangaa sku mnamuhoji raisi au makamu mkaanza kumuuliza maswali kama hayo.
Muimbaji wa injili ni binadamu mwisho wa siku naye anashiriki ngono kama kawaida tunao mfano wa rose mhando na chr shusho!
 
mayala ana media yake, ila poa tu clouds huhitaji sana watangazaji wenye media zao
Pia wenye weledi na staha kama Pascal Mayalla ni ngumu sana kupewa pale hata part time japo , huyu dogo tumpiganie aingie pale , kwa vipindi vyenye kuhitaji weledi na ufahamu mkubwa.
Mayala ndio Stephen Sucker wetu , yule wa HARD TALK.
 
Muonekano si mavazi tu Bw. Jaji
NYIE watu wa kiroho mnatuhukumu hadi tembea yetu.
Kwahiyo leo Zuchu, diamond, Wema Sepetu, Asha ngedere, Giggy Money na wahuni wengine wakija mnakwazika kwakuwa si walokole na wamevaa mavazi yanaonyesha chupi na vitovu, eeh badala ya kushangilia waje wapate injili?
 
Muimbaji wa injili ni binadamu mwisho wa siku naye anashiriki ngono kama kawaida tunao mfano wa rose mhando na chr shusho!
Ulitegemea wapate watoto wa uwezo wa Roho mtakatifu kama Mariam mama wa Yesu , japo hata Mariam baada ya kumzaa Yesu naye aliendelea kuzaa watoto wengine na mumewe YUSUFU?

Wanashiriki ngono baada ya kuolewa na kuoa of which is not sin, wewe ulitaka wasizae, ?Biblia inakata za kuwazuia watu kuzaana, wao si mapadri wala masista wa Kirumi.
 
Ulitegemea wapate watoto wa uwezo wa Roho mtakatifu kama Mariam mama wa Yesu , japo hata Mariam baada ya kumzaa Yesu naye aliendelea kuzaa watoto wengine na mumewe YUSUFU?

Wanashiriki ngono baada ya kuolewa na kuoa of which is not sin, wewe ulitaka wasizae, ?Biblia inakata za kuwazuia watu kuzaana, wao si mapadri wala masista wa Kirumi.
Wacha waulizwe maswali si dhambi!
 
Hawa waimbaji wa gospel ndio wale wanaopiga mauno na sebene?
Ndio, ndio!​

2 Samueli 6:12-22

Mfalme Daudi aliporudi nyumbani kwake ili kuibariki jamaa yake, Mikali, binti Shauli, alikwenda kumlaki, akasema, “Ajabu ya mfalme wa Israeli kujiheshimu leo, kwa kujifunua uchi wake mbele ya watumishi wake wa kiume na wa kike kama mshenzi avuavyo mavazi yake mbele ya watu bila aibu!” Daudi akamwambia Mikali, “Nilikuwa mbele ya Mwenyezi-Mungu ambaye alinichagua mimi badala ya baba yako, na jamaa yake, ili kuniteua kuwa mkuu juu ya Israeli, watu wake Mwenyezi-Mungu, kwa hiyo mimi nitacheza tu mbele ya Mwenyezi-Mungu. Nitajishusha mwenyewe zaidi kuliko sasa. Wewe utaniona kuwa si kitu, lakini hao watumishi wa kike uliowasema wataniheshimu.
 
Ndio, ndio!​

2 Samueli 6:12-22

Mfalme Daudi aliporudi nyumbani kwake ili kuibariki jamaa yake, Mikali, binti Shauli, alikwenda kumlaki, akasema, “Ajabu ya mfalme wa Israeli kujiheshimu leo, kwa kujifunua uchi wake mbele ya watumishi wake wa kiume na wa kike kama mshenzi avuavyo mavazi yake mbele ya watu bila aibu!” Daudi akamwambia Mikali, “Nilikuwa mbele ya Mwenyezi-Mungu ambaye alinichagua mimi badala ya baba yako, na jamaa yake, ili kuniteua kuwa mkuu juu ya Israeli, watu wake Mwenyezi-Mungu, kwa hiyo mimi nitacheza tu mbele ya Mwenyezi-Mungu. Nitajishusha mwenyewe zaidi kuliko sasa. Wewe utaniona kuwa si kitu, lakini hao watumishi wa kike uliowasema wataniheshimu.
Ukiwa na maana kwamba?
 
Mwanamuzi, muimbaji na mtunzi wa nyimbo za injili Israel Mboni ametua Tanzania kufanya tamasha Mlimani City na Leaders Club.

Katika interview pale Clouds muwe mnaweka, kama ni mtu wa injili basi wale watu wa gospel, wenye uelewa wa injili na kufuatilia na ikibidi wekeni mlokole.

Sasa Sudi Brown ni "mataifa' "kafiri"na hamjui Mungu alafu anawekwa kumuuliza mtu aliyeokoka, kajikuta anauliza maswali ya ngono ambayo ndio wamezoea kuuliza wasanii.

Clip ya mahojiano hayo nimeona aibu kuipost hapa maana hata waandishi wengine watajisikia vibaya.

Kwa ujumla, mwandishi huwezi kuwa mbobezi wa kila kitu, ni sawa ni kibatala leo u mlete afanye ishu za corporate, hatoweza.

Ajiri watu wenye profession zao hata kwa mkataba wa kazi maalum.
Sitoshangaa sku mnamuhoji raisi au makamu mkaanza kumuuliza maswali kama hayo.
Hili kiukweli haikuwa sawa...

Binafsi nimeona hayo mahojiano mtandaoni huko...Kwanza ni kelele mtu anamuuliza Israeli Swali...hajamaliza kuelezea..mwingine kadakia kingine...
Maswali wanayomuuliza na kazi anayofanya ni tofauti...

Hakukuwa na mpangilio..
 
Back
Top Bottom