wewe adili anakujua nani? usitafute promo kwa nguvu na za kijinga,fanya kazi ya maana utaonekana tu,sijawai kukuskia radioni kukuona kwenye tv hata ch 5 sasa hii tv pia ni ya clouds? kwani na huko wanakubania? mbona wasanii wengine wanaonekana? iweje unapiga yowee ili mradi uskike tu!!! fanya kazi kaka utaonekana tu.
issue ya kudanganya wadau kwamba account yako imekuwa hacked ni uzushi mtupu ya kutafuta promo maana sugu ameona issue hii haijapata promo yoyote sasa mnaleta za kuleta sasa hii ni aibu na inahitaji kujipanga na siyo kukurupuka.Kufanya tamasha kubwa kama mnavyojigamba si kazi rahisi na ndio maana imebidi mpeleke mbele kwani mlikurupuka.Hata hiyo tare 26 tuko hapa hakuna kitachotokea.
mimi niko neutral siko upande wowote ila nawashangaa wasanii hawa wachache wanaomuunga mkono sugu kwasababu zifuatazo:
1. wagosi wa kaya: hawa wamejifelisha wenyewe kwani hawakwenda na wakati,style yao ni ile ile miaka nenda rudi, wakachokwa.
2.mapacha: walishindwa kuusoma mziki kuona mashabiki wanapenda nini, wao wakaimba wanavyopenda wao na matokeo yake wakafeli.
3. adili: alijaribu mziki akashindwa, hajawahi kutoa hata ngoma moja ya maana kwa rekodi niliyonayo hakuna hata track yake moja iliyowahi kuskia kwenye radio yoyote nchini, akajaribu kufanya video akafeli.
4.soggy: huyu pia ameshindwa kwenda na wakati tangu ameanza mziki mwaka 1996 hadi leo 2011 bado unachana vile vile huna swagga.
4. rama dee: huyu ndiye anayenishangaza kwani kama kuna radio imempa promo bac ni clouds kwani sijawahi kumsikia radio yoyote, huyu ni mzigo wa mavi habebeki kwani ameshindwa kufikia level ya kina diamond kwani hajui anataka kuimba nini.
5.suma gee: huyu cha pombe hata sura yake ukiiangalia unapata jibu kwanini alifeli.
6.dani msimamo: sina zaidi hajawahi kufanya la maana kwenye hii gem. ila nampa big kwa maskio yake yaliyojitokeza kwa ajili ya usnitch
7. sugu: bwana misosi kwenye nitoke vipi alishasema kwamba sugu wabongo wamemchoka na wamemtema,toka kipindi hicho 2003 na ndio maana uzinduzi wa mwisho sugu alipata watu 8 pale diamond.
kwa kumalizia hii crew yote ni watu waliofeli na wamebaki kudanganyana badala ya kuangalia waliteleza wapi na wajirekebishe.Hii show itafeli tu, tuko hapa tusiandikie mate wakati wino upo.
naomba kuwasilisha.