Clouds fm wa hack account ya adili ya facebook na kusambaza ujumbe kuwa kajitoa ant virus


daa hata siongei maana huo ushauri huwezi kuupata hata kwa mama yako mzazi.adili ni mtu mwenye kipaji kuliko hata hao akina chid benzi.akae na kaka ake salu tee aampe ushauri maana salu tee na hashim dogo ndo watu ambao wamewainspire akina adili kurap.mungu mbariki adili..ur gifted kaka
 
we naye shetani tu! WAHAYA wakati alimuibia saida karoli dada yetu kutoka kashalu bukoba,unaposema WAHAYA nakuona kilaza wa hali ya juu.huyo luge ni mpumbav tu kama wapumbav wengne tu!

mkuu kwa ihu ya Saida Karoli mlaumu kaka yako Felicien Muta!huyu bwana kmatia umaskini dada wa watu na kumtaelekeza baada ya kuwa ametengeneza mamilion kupitia mgongo wake!nimeyashuhudia haya kwa macho mkuu!alichochukua ruge kwa saida labda ni fraction tu ya kile muta kavuna kwa yule binti wa kihaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…