Clouds fm walichomfanyia Fid Q siyo fair

Clouds fm walichomfanyia Fid Q siyo fair

huo ni ustaarabu wa mtu mwenyewe sio sheria kama hataki huwezi kumlazimisha kwani anavunja katiba ya nchi
 
Kweli hawa jamaa nimeamini ni wanfiki siku za nyuma wamewahi kuonesha unafiki kwa wasanii wengi akiwemo Afande Sele, inashangaza sana kutokuwepo kwa jina la FID Q katika list itakayo sherehesha fiesta Mwanza hasa ukizingatia Fid Q ndo mwenyeji wao.

Mbona mikoa mingine waliyoenda waliwapa kipaumbele wasanii wazawa wa mkoa husika , inabidi ifike mahala wasanii waache kunyenyekea hao clouds.
Wasani tukiwaambia wanazingua sjui wamerogwa
 
Ote ni wamoja Kaka Hakuna cha clouds wala wasafi ote ni matumbo mavi
Kweli hawa jamaa nimeamini ni wanfiki siku za nyuma wamewahi kuonesha unafiki kwa wasanii wengi akiwemo Afande Sele, inashangaza sana kutokuwepo kwa jina la FID Q katika list itakayo sherehesha fiesta Mwanza hasa ukizingatia Fid Q ndo mwenyeji wao.

Mbona mikoa mingine waliyoenda waliwapa kipaumbele wasanii wazawa wa mkoa husika , inabidi ifike mahala wasanii waache kunyenyekea hao clouds.
 
Back
Top Bottom