Allien
JF-Expert Member
- Jul 6, 2008
- 5,546
- 1,861
Part 2? Wao Clouds wamejuaje kuwa kuna part 2 na contents zake? Na kwani mahakama ishatoa gag order mara hii hadi imzuie asiiweke hadharani hiyo unayoiita part 2? Kama ishatoa hiyo gag order, imeitoa lini ilhali huyo binti leo ndo kaenda huko mahakamani?
Majomba Jide alishasema kwenye media part II itatoka Tarehe 15 na Clouds wanajua. Alisema immediately baada ya interview ya Ruge. Na Jide alisema more facts will come on 15th. Gang order no body knows kwani content za hati ya mashtaka no body knows na wala hatujui mahakama itachukua muda gani kusikiliza.
Wewe...kwani kesi imesikilizwa leo? Kama imesikilizwa, matokeo yake yamekuwaje?
Alipewa wito wa kuitwa mahakamani na leo atapewa hati ya mashtaka.
That will shall we see. But I'm all for them to duke it out the courtroom.
You got a right to talk Dude!
Labda kweli ndo maana anahaha ku manufacture beef ili auze album na maonyesho yake. Si umesikia anachaji 50K kwenye hicho ki concert chake mbuzi hapo Nyumbani lounge...so I can't put anything past that.
50K VIP pamoja na misosi na albam (CD). Ile Mutu size kubwa kishanunua, ile Mukulu Mukulu (You know what I mean). 20K ni Standard.
Shida iliyopo Clouds same day wanasupport show ya Skyband na New Maisha Club Rachel na kina dogo wengine wamepangiwa show. So kuna hatari binti asiapate watu wengi ingawa anajitahidi kupiga promotion ya nguvu.
She is just a has been who is seeking relevance again. She ain't got it no more.
You could be right. We will see her Plan B, C and D
Unavyomfanya aonekane kama yeye yuko squeaky clean ilhali hayuko makes me SMFH!!
Wote Jide na Clouds wababe. So let us see what will happen finally.
Cha msingi ni yeye huyo binti kukubali hali halisi kwamba hawezi kuwa juu kwenye medani za burudani milele na milele. Na aache kuropoka na kuzushia watu.
Kakataa kukubali na yuko radhi ashindwe. Anadai No Retreat No Surrender!