Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

Hivi, ulitegemea kwenye celebrities forum yaongelewe maisha binafsi ya paka? Hapa ni kuongelea maisha binafsi ya watu, na ndo maana forum hii ipo. Hapa ndo mahala pake, wataongelewa wakifanya lolote, liwe baya, zuri au vyovyote vile..

Unajua nilipoanzia na huyo mtu?
 
Kuna watu stori za mitaani wanadhani zina lolote mahakamani...

Kwani na nyie huo utetezi wenu kwa clouds mnautoa wapi?...mahakamani?!

Kesi ipo mahakamani basi tusubiri lakini msijifanye nyie ndo mna haki ya kuongea pekee yenu
 
kama utaki kalale
Wewe umelala nini maana inaonekana umepost 10:47
Kuna post nyingi sana umu za kupitia na kucomment sidhani kama ulimaanisha ulichosema.
Kuwa mpenzi wa magazeti ya udaku haimaanishi kila mtu anayapenda.
What matters kwangu ni credibility ya media used as a source katika jamii yetu.
 
Huu ujanja ujanja wa kuwatumia wasanii kujipatia kipato ni vyema sasa ukasemwa NO,hivi kuna ulazima gani wa kukomaa na mtu wakati anajitaftia kivyake? acheni watu wapate ridhiki zao pasi ya nyie kuwatumia? hata idd amini dada alikuwa hivyo,alitumia power aliyonayo kuwaumiza watu,lakini mwisho wasiku yalikwisha na sasa uganda ipo huru
na wasanii mtakuwa huru,kila jambo litapita.hamtafaidi nyinyi matunda haya anayoyapanda JD sasa,watafaida watakao kuja,lakini msikate tamaa,komaeni tu.
 
Huu ujanja ujanja wa kuwatumia wasanii kujipatia kipato ni vyema sasa ukasemwa NO,hivi kuna ulazima gani wa kukomaa na mtu wakati anajitaftia kivyake? acheni watu wapate ridhiki zao pasi ya nyie kuwatumia? hata idd amini dada alikuwa hivyo,alitumia power aliyonayo kuwaumiza watu,lakini mwisho wasiku yalikwisha na sasa uganda ipo huru
na wasanii mtakuwa huru,kila jambo litapita.hamtafaidi nyinyi matunda haya anayoyapanda JD sasa,watafaida watakao kuja,lakini msikate tamaa,komaeni
hakika !
 
Sory csta jide nilisafiri kidogo nilienda ctimbi kufanya tambiko na kufagilia makaburi!

RUGE ALIWAPELEKA VINEGA MAHAKAMANI NA AKAKIMBIA!

hatumuogopi hatutishi akae mbali atajuta nwambie ataumbuka wasanii watanzania wakiamua wote kumshitaki yeye na kusaga!

Kazi ipo mbele
 
Hakimu Athman Nyamlani ni huyu wa TFF AKA Ridh1? Jide kwishney hapo
 
88. ninyi ni maf****.

Hawana kitu mbona kesi ya vinega walienda kufuta shit wafu fm!...
 
Baada ya kuona kuwa maelezo waliyotoa kupitia redio yao hayajakata kiu ya watu na umma kusubiri kwa hamu majibu ya jide.

Ruge na Kusaga wakaamua kwenda kutafuta nguvu ya mahakama na kusababisha jide ashindwe kutoa waraka wa pili tar 15 au 17 kama alivyoahidi.

Source: Facebook page ya Jide
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1368780392579.jpg
    uploadfromtaptalk1368780392579.jpg
    33.7 KB · Views: 237
mbona simplee tuu..

kama mahakama wamemzuia jide asijilipuwe...ampe madesa gadna ajilipuwe nayo na ikishindikana wampe msemaji wa familia...

kama nawaona ruge na kusaga wanavyohamia mahakamani kuweka mapingamizi kila uchao..leo atatoa gadna wakizuia gadna asiongee ataongea msemaji wa familia wakizuia ataongea msemaji wa machozi band wakizuia tena anaongea msemaji wa nyumban lounge wakizuia tena anaongea kiongozi wa washabiki wa machozi band wakizuia tunaongea wapenzi na mashabiki wa machozi band wakizuia tunaongea walevi wa nyumbani lounge.....

WANAJITAHIDI KUUFICHA UKWELI ILA HAWATOWEZA..TRUTH ALWAYS PREVAILSSSSSSSSSSSSS...KILIO CHA MWENYE HAKI NI KIKUU NA HUMFIKIA MUNGU MARAMOJA NAYE HUMLIPIA MWENYE HAKI NA HASA WAJANE NA YATIMA.
 
Tumechoka kila siku JIDE au KUSAGA. Hivi huwezi kuwa mwanamuziki bila ya CLOUDS. Au hakuna kazi zingine . Utumwani uende mwenyewe harafu uje ulalamikie hapa
 
Tumechoka kila siku JIDE au KUSAGA. Hivi huwezi kuwa mwanamuziki bila ya CLOUDS. Au hakuna kazi zingine . Utumwani uende mwenyewe harafu uje ulalamikie hapa
Unaweza lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Clouds imedominate soko la mziki.
Ishu hapa sio kuachana na clouds bali ni kwamba mtu anatete haki yake ya kusema..tena kusema kilicho kweli.
 
Back
Top Bottom