Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,256
Hivi, ulitegemea kwenye celebrities forum yaongelewe maisha binafsi ya paka? Hapa ni kuongelea maisha binafsi ya watu, na ndo maana forum hii ipo. Hapa ndo mahala pake, wataongelewa wakifanya lolote, liwe baya, zuri au vyovyote vile..
Unajua nilipoanzia na huyo mtu?