Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da thanks kalila kwa info kumbe mzee wa benzi jekundu(FA) ni bonge la snitch,Sugu moto chini dawa ya jeuri ni kiburi nimemkubali kwa harakati zake
hivi WEWE MZEE NI MZIMA KWELI?AU chizi?
Tena sugu kamchana kuwa kaahidiwa na ruge kuwa atapewa ubunge wa kuteuliwa my ass mimi nawashangaa wakina prof jay, fid q msanii mkubwa unawekwa kundi moja na kina dogo janja shame na asipoangaliwa atapelekwa tht akaimbe kiduku nampa big up sana a.y yeye anaangalia maslai nje wengine wanasubiri fiesta ya kulipwa laki
unataka kunifananisha na Sugu?.
nasikia pia an2mia kamati za ufund kuharib matamasha yanayo andaliwaKabisa hapa inabidi sugu na crew yake ya peenlawyer wafanye promo ya kufa mtu maana navyomjua ruge kwa promo hajambo anaweza akapiga tangazo mara 1000 kwa siku
leave it pal.Sidhani kama ni ishu ya kujadili humu ndani. Anyway.
Katika dhana ya kugawana mashabiki kwenye matamasha kati ya sugu na ruge,clouds fm kupitia straight music watafanya Tamasha siku hiyo hiyo ambayo Mh. Sugu(Joseph Mbilinyi,Mb wa Mbeya mjini) naye anazindua album yake ya ANT-VIRUS II tar. 26/11/2011.Clouds Fm wamejibu kutokana na Mh sugu kupitia kampuni yake ya Deiwaka kufanya Tamasha siku hiyohiyo ambyo nao clouds walikuwa wanafanya tamasha lao la Fiesta mbeya.
Nawasilisha
Sugu atafanyia wapi?maana ntakuwa Dar that day lazima niende! itakuwa wapi tafadhali