Mwenye CV ya Ephraim Kibonde (kama anayo) naomba atuwekee hapa, inawezekana siyo tatizo lake ni vyeti.
These are street boys, unethical & rumour hunters. As a member of JF, you, even, dont have a right to quote them. Try quoting intellectuals not every famous human.
Kama wanatusoma watarekebisha midomo;
One must be a little foolish, if one does not want to be even more stupid." -Michel de Montaigne
Wamezoea kujikomba na sasa naamini hawana tena tabia wanayoijua.
You Must be GeneousKibonde na Gadner harafu hawa obulangata yao ni kama haijakaa sawa vile
You Must be Geneous
haa hakuna lolote hapa...clouds
Hawa vibonde wa Clouds wanapenda vijana wenye akili za fiesta fiesta, hawasomi kuongeza uelewa zaidi ya kusoma habari za ligi ya EnglandNi vyema vyombo vya habari vikajiepusha na propaganda za kisiasa, pia nivyema chombo huru cha habari kikajitenga na propaganda za kuegema upande, najua upo ukaribu Kina Kibonde na Masha, ni lazima watazichukia habari hizo nz kuziponda.
Kibonde na Gadner, sina hakika kama wanalielewa vyema sakata zima la Meremeta na biashara haramu ya silaha, ninamashaka kama wanasoma kwa ukaribu taarifa kuhusu mambo haya, kweli inashangaza.
EPHRAIM hana ubavu wa kukosoa uelewa wa mnyika John, huyu ni aina ya watu ambao huanza kukosoa habari kwakusoma vichwa vya habari, ni aibu kwao.
HAWAPENDI VIJANA WENYE AKILI ZINAZOKATA KAMA VISU, WANAPENDA vijana wenye mind za bongo flavour. wamechelewa.
tena halisi halisia.....simply dancing to the rythm basi!!!nani asiyejua Clouds ni SI SI EMU? hakuna lolote hapa kweli festi ledi
nani asiyejua Clouds ni SI SI EMU? hakuna lolote hapa kweli festi ledi
Hili ni tatizo kubwa sana la wanahabari wetu hasa wa redio! Kuna wakati nabadili station haraka mtu asikute nawasikiliza! Hawasomi, hawapitii habari zao wenyewe kabla ya kuzitangaza! It is pathetic! Mtangazaji anaweza kusema jambo unajiuliza, hivi kwanini analisema kama hajui? Au huwa hawajui kuwa hawajui?
Ngoja sasa atamke majina ya nchi, miji au watu! Loh! Wenzao kabla ya kwenda hewani huuliza majina yanatamkwaje na kufanya mazoezi!
nani asiyejua Clouds ni SI SI EMU? hakuna lolote hapa kweli festi ledi
Nadhani radio zipo nyingi kama yalivyo magazeti. Unajuwa inategemea mtu unapenda kusikiliza habari za namna gani. Kama redio au gazeti linataja mambo siyoyapenda.. kwa nini usiipotezeee tuuuu. Uzuri ni kuwa redio zetu zinaweza kushika stesheni moja at a time,.. we badili frequency tu badala ya kubaki kulalamika.Hawa jamaa wa clouds FM wana matatizo sana na hasa hicho kipindi cha Jahazi wanatumia lugha ya matusi na maneno ya mitaani as if inasikilizwa na wahuni wa mitaani, ilhali watu wenye heshima zetu nasi tunasilkiliza ili tupate habari, lakini matokeo yake tunakereka.
Wana JF;
Napenda niwaambie kuwa kwa bahati nzuri au mbaya nimewahi kuwa karibu na Gadna na Kibonde. Naomba niwaeleze au niweke sawa mambo.
Kibonde ni mfuatiliaji mzuri wa mambo na ana upeo mzuri tu wa kutathmini mambo. Ana Secondary education lakini ninawahakikishia anawazidi hawa graduate wetu wengi wa siku hizi kwa exposure na uelewa.
Gadna sio mfuatiliaji wa mambo ila yupo exposed kwenye anga za life na starehe (muzic, cinema, sanaa kwa ujumla), hana hobby ya mambo ya kisiasa wala hayuko interested nazo, ni mfanyabiashara na mzuri kwa ubunifu.
Back to the topic, Radio kama ilivyo media yoyote, watangazaji wake wanawakilisha mawazo ya mmiliki, refer magazeti ya Mengi RA na hata Mbowe. Absalom Kibanda mlimuona nyinyi wenyewe humu.
Waandishi na watangazaji wengi bongo hawa exercise their right kwa sababu wamiliki wana ajenda zao binafsi. Mtawalaumu bure hawa jamaa kuhusu suala la CCM na serikali.
Clouds FM ni timu ya watafutaji na wasanii. Na ni watafutaji kweli kweli, lakini mnyonge mnyongeeni lakini Clouds wana entertain hasa kwa vijana. Utani na upuuzi kidogo ni moja ya entertainment yao, wanafanya maksudi kabisa sio kwamba hawana akili.
Anyway nitamtaarifu Kibonde aingie hapa ajibu baadhi ya hoja hata kama sio kwa jina lake halisi, Gadna sijui kama anajua hata JF ina exist.
FP
Ukifuatilia kipindi cha jahazi jioni cha Kibonde na Gadner na hata kipindi cha hasubuhi cha kusoma magazeti wanasoma vichwa vya habari vya magazeti mengine yote wanayatoa vichwani mwao na pia wanachagua habari ipi waisome na ipi waiache! inahudhi na inakera sana! hawa watu kuna mahali wanaegemea au wametumwa!!! fatilia Radio One na hawa uone tofauti.
Clauds Fm wakianza kusoma magazeti utafikiri ni kijiwe cha umbea na uzushi!!! hawaelewi kuwa watu wako vijijini/mikoa mbalimbali wanafuatilia habari za magazeti, inakuwa kuwasikiliza wao.