Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,601
- 2,354
Mtunzi mzuri fid q tu.Kaz kwel kwel , ila Kiba anafanya mziki hobby na sio commercial, mambo ya timu wanamlazimisha tuu, japo nathamin juhudi ya mond, nafkr Ally Kiba ni mtunzi Bora wa mashairi kuwah kutokea kwenye historia ya bongo fleva
Dah watakuja muua kwa stress asee kama mke akikimbia na clouds wamutupe cjui atakimbilia wap??Clouds washamtema teyali hata show moja ya fiesta hawajampa.sijui jamaa atasurvive vp?
Atakimbilia eatv na east africa redio maana wao ndo wanamlea jamaaDah watakuja muua kwa stress asee kama mke akikimbia na clouds wamutupe cjui atakimbilia wap??
Sema haina nguvu kama mawingu fmAtakimbilia eatv na east africa redio maana wao ndo wanamlea jamaa
Inawezekana mkuu sio kawaida kabisanadhan kutakua na kitu, haiwezekani wamtenge kias hicho
Kiba haishi kutegemea muzikiClouds washamtema teyali hata show moja ya fiesta hawajampa.sijui jamaa atasurvive vp?
So anategemea madawa kulevya si ndioKiba haishi kutegemea muziki