Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Kiba kama arsenal tuu,..presha roho mkonon mda wote,ngum sana kumshabikia kibaMnasikilza clouds au mnaropoka leo wamepga kwny xxl n jahaz achen chokochoko msilazmshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiba kama arsenal tuu,..presha roho mkonon mda wote,ngum sana kumshabikia kibaMnasikilza clouds au mnaropoka leo wamepga kwny xxl n jahaz achen chokochoko msilazmshe
Anategemea nni.?Kiba haishi kutegemea muziki
Swali zuri Sana akikujibu nitag.Anategemea nni.?
Nimemshangaa sana huyo mpuuz hapo juuMtunzi mzuri fid q tu.
HelaAnategemea nni.?
Maisha aliyonayo Ali kiba,maisha anayoishi Ali kiba wewe na baba ako mtaishia kuyaota kama unabisha post kadi yako ya gari unalomiki nakupa milioni moja sasa hiviClouds washamtema tayari hata show moja ya fiesta hawajampa.sijui jamaa atasurvive vp?
Sio kweli ungeniambia kuhusu sauti nakubali pili kiba sio mkali sana kwenye kuandika ila kwenye masauti Huyo diamond akasome ila kwenye kuandika mond kamzidi kiba mbali tuKaz kwel kwel , ila Kiba anafanya mziki hobby na sio commercial, mambo ya timu wanamlazimisha tuu, japo nathamin juhudi ya mond, nafkr Ally Kiba ni mtunzi Bora wa mashairi kuwah kutokea kwenye historia ya bongo fleva
Kuandika matusi?Sio kweli ungeniambia kuhusu sauti nakubali pili kiba sio mkali sana kwenye kuandika ila kwenye masauti Huyo diamond akasome ila kwenye kuandika mond kamzidi kiba mbali tu
Huyu anaekopi nyimbo za watu kutoka nje?Mtunzi mzuri fid q tu.
Namzungumzia diamond yule was kamwambie,mbagala,moyo wangu,mawazo,nimpende nani n.kKuandika matusi?
smbugina samamba,.. ndo kujua kuandika?
Huyu anaekopi nyimb
Kuna majitu yanakurupukaga vibaya? Hebu nitajie nyimbo mbili tu za nje amabazo fid kakopi andika na lyrics alizokopiHuyu anaekopi nyimbo za watu kutoka nje?
That's according to you. for me ni mwana fa + marehemu ngwairKaz kwel kwel , ila Kiba anafanya mziki hobby na sio commercial, mambo ya timu wanamlazimisha tuu, japo nathamin juhudi ya mond, nafkr Ally Kiba ni mtunzi Bora wa mashairi kuwah kutokea kwenye historia ya bongo fleva
Nyie mataga wa madale mna wivu wa kikeClouds washamtema tayari hata show moja ya fiesta hawajampa.sijui jamaa atasurvive vp?
Mwanafalsafa mzeee....Mtunzi mzuri fid q tu.